nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Advance ya kazi ndivyo huwa inaombwa hivyo au wewe ni wa kwanza kuleta kazi humu jf?kabla ya kuanza kazi kwann hukumwambia gharama zako na malipo yanakuwa vipi?matapeli wa mtandaoni ndivyo mlivyo,utaanzaje kazi bila mskubaliano ya malipo then uombe hela ya chai?kati yako na mteja nani anaweza kumtapeli mwenzie kirahisi??Tapeli ww na Familia yako! Sijawah mtapeli mtu yoyote kutoka JF! Hata comments za wadau hakuna aliyecomment kuwa mm ni tapeli! Ulitaka ufanyiwe kazi bure??? Kwanini uliblock baada ya kudai Advance???? Na kazi nilisnilishatuma nimeanza Cards nimekutumia, LOGO nimekutumia kukudai Advance ni Tapeli?? Mshamba mkubwa ww!