Kwa hiyo unakumbushia kipindi kile ulichonipoka Naki wangu?
Alinilia chipsi sana pale kwa Nata (RIP) asee
Ukaninyang'anya kama unanawa vile.
Lazima nikulipizie kipindi hiki arifu. Sikubali.
Barua yenyewe sasa na mpouda....perfumu...hahahahahaaaa acha kabisa asikuambie mtu...yaani ukipokea unaiweka chini ya mto bwenini unailalia tem nzima....ni kwa leo tu............ enzi zile niliandika barua na broken english, ikarudi imesahihishwa aisee
Yeah.... that natural beauty stays forever asee....kwa leo tu............. haturuhusiwi kukumbukia mabaya!! hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sikumpata aisee, niliteleza kila nikipanga maneno hayatoki naishia kuchekacheka, sikui akaja jamaa gani wa sekondari, anajua kizungu akavuta mzigo
I am hoping that she is still the same cute girl
Yeah.... that natural beauty stays forever asee....
Hahahahahaaa..... binti alishobokea kingledha cha kwenye debate na drama akatupiga chini mazima?
Damn..... nakumbuka nlikuwa mtaalam wa kukatia michongoma, nikipata "kakibarua" ka kukata michongoma pale kanisani, afu mtoto akawa anapita basi mzee mzima naruka sarakasi kwenda kujificha mtoto asinione. Afu jioni nikishakamata mshiko nampigia mluzi kiaina, tunaongozana kwa Nata kupiga chipsi yai. Manina wallah!
Siku hizi ukiomba namba za simu ukapewa, inamaanisha umeshakubaliwa kumvua bikini ndani ya kuta nne. Nyambaf
Hahahahaha! Mekumbusha mbali sana..... Damn old good days!**** sana wewe,
enzi zile za kudokoa mahindi ya shule, aisee