Kwa kweli hizi ni siku za mwisho

Kwa kweli hizi ni siku za mwisho

mollel arusha

Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
19
Reaction score
8
amini usiamini hizi ni nyakati zile walizonena manabii. kulingana na maandiko matakatifu ya Mungu ktk Mwz 19: 14-17 inaweka wazi kwamba, mambo yayotokea siku za leo kama vile: ushoga, kuporomoka kwa maadili, kupenda pesa kuliko kumpendaMungu n.k inaashiria mwisho ule. Yesu anasema kama ilivyokuwa siku za Lutu ndivyo kutakavyo kuwa siku za kurudi kwake na ya mwisho wa dunia. hivyo ni heri tugeuke na kuacha maovu na kumgeukia Mungu mtakatifu. soma Biblia na kuamini maneno ya Mungu. Mungu, msaidie msomaji huyu sasa kwa jina la Yesu, amen!
 
amini usiamini hizi ni nyakati zile walizonena manabii. kulingana na maandiko matakatifu ya Mungu ktk Mwz 19: 14-17 inaweka wazi kwamba, mambo yayotokea siku za leo kama vile: ushoga, kuporomoka kwa maadili, kupenda pesa kuliko kumpendaMungu n.k inaashiria mwisho ule. Yesu anasema kama ilivyokuwa siku za Lutu ndivyo kutakavyo kuwa siku za kurudi kwake na ya mwisho wa dunia. hivyo ni heri tugeuke na kuacha maovu na kumgeukia Mungu mtakatifu. soma Biblia na kuamini maneno ya Mungu. Mungu, msaidie msomaji huyu sasa kwa jina la Yesu, amen!

Amen kaka
 
Hiyo ya kupenda pesa mkuu itahitaji maombi yaanzie kwa watumishi wenyewe,maana hawa manabii wa kisasa ni sadaka kwanza,huduma baadaye.
 
Hilo swala la kupenda pesa lilianzia kwa haohao manabii kama vile yuda xaxa hakuna haja ya kushangaa kwa cc tuco na cheo chochote katika mlolongo wa dini wewe kama una imani kuwa kuna cku za mwisho bac amini lakini ukweli ni kwamba wewe fanya maisha yako na ukifatilia mambo ya dini utaendelea kuliwa pesa zako za sadaka na hao mafisadi wanao tumia dini kuchukua pesa za watu
 
Hilo swala la kupenda pesa lilianzia kwa haohao manabii kama vile yuda xaxa hakuna haja ya kushangaa kwa cc tuco na cheo chochote katika mlolongo wa dini wewe kama una imani kuwa kuna cku za mwisho bac amini lakini ukweli ni kwamba wewe fanya maisha yako na ukifatilia mambo ya dini utaendelea kuliwa pesa zako za sadaka na hao mafisadi wanao tumia dini kuchukua pesa za watu

xaxa ndio nini?!!!!!!!!!!!!
 
Tatizo sio kupenda pesa ni maisha yamekuwa magumu.na ukweli nikumuomba mungu ajuaye yote atufanye kuwa wajawake walio wema.
 
Hilo swala la kupenda pesa lilianzia kwa haohao manabii kama vile yuda xaxa hakuna haja ya kushangaa kwa cc tuco na cheo chochote katika mlolongo wa dini wewe kama una imani kuwa kuna cku za mwisho bac amini lakini ukweli ni kwamba wewe fanya maisha yako na ukifatilia mambo ya dini utaendelea kuliwa pesa zako za sadaka na hao mafisadi wanao tumia dini kuchukua pesa za watu

Ni heri ukubali ili usije juta siku ikifika,kuliko kuendelea kushupaza shingo mpokee Yesu
akuokoe usijeangamia
,dini haitakupeleka mbinguni wala si njia ila Yesu ndiye njia kweli na uzima'
 
Back
Top Bottom