Kwa kujua coding/programming, unawezaje kutengeneza pesa?

DA HUSTLA

JF-Expert Member
Mar 5, 2012
3,663
3,882
Watu wa Mungu nawasalimu kwa jina la jamhuri.

Umekuwepo msemo eti ujijua programming vizuri utapiga sana pesa, lakini kila unayemuuliza unapigaje pesa hafunguki kabisa!

Sasa wataalamu hebu leo mtutoe tongo tongo, ukiiva vizuri katika coding unawezaje kupiga pesa? Tusaidiane vijana wapate motive tuupige ko umaskini.

Thanks.

Regards,

Da Hustla.
 
Ni ngumu kukuelezea 7bu ata iyo sim na keyboard unayotumia imetengenezwa kwa mgongo wa programming ssa ili upige pesa lazima ujue hakuna PESA RAHISI na urejee ule msemo unaosema FURSA HAIJIONESHI nayo pia inahitaji ubunifu ukae utafakar kupitia hii programming naweza nikatengeneza program ya malipo ikatumika mashuleni,vyuoni n.k naweza kutengeneza App,Website logo n.k n.k ivyo naweza kupewa tenda ya kutengeneza ivyo vitu na nikapiga pesa" kwaio inahitaji uwe mbunifu tena haswaa since ze programming world inazidi kuwa ADVANCE kwaio lazima uwe mbunifu aswaa......Saivi kuna A.I na ma Machine learning cc uku bado tupo nyuma kwambaali tunakujakuja
 
Kujua coding hakuna tofauti na kujua kupiga randa, kubeba tofali, kufagia, kushona nguo etc.

Kama ulivyojibiwa ubunifu ndio unakuingizia hela, kuna watu wametengeneza software zao wanahangaika kila siku hawana kipato cha maana, na kuna wengine wanatengeneza ki game kama flappy bird wanaingiza mamia ya mamilioni kwa siku.
 
Unataka pesa ya rahisi? Nenda dark web, huko kuna kuna kila aina ya biashara haramu.
Anza kudukua accounti za watu mashuhuri, nenda kauze uko. Utakuja kunishukuru.
 
Kujua coding hakuna tofauti na kujua kupiga randa, kubeba tofali, kufagia, kushona nguo etc.

Kama ulivyojibiwa ubunifu ndio unakuingizia hela, kuna watu wametengeneza software zao wanahangaika kila siku hawana kipato cha maana, na kuna wengine wanatengeneza ki game kama flappy bird wanaingiza mamia ya mamilioni kwa siku.
Bro nimepata chance ya chuo ya kwenda kusoma sasa broo ni some wapi nijikwamue
Mfano
Kuna Web design
Maintenance
Graphics
Database
Programming
Software engineering
Na nyinginezo nyingi broo

Naombeni sanaa msaada wenu maana kazi ninayo na ada ninayo na ruhusa nimesha haidiwa na boss wangu
 
Huku ili upate pesa mpaka uvimbe kweli maana kila kitu utafanya peke yako

Unaweza ukajikuta unatakiwa usome programming language kama 12
 
Kujua coding hakuna tofauti na kujua kupiga randa, kubeba tofali, kufagia, kushona nguo etc.

Kama ulivyojibiwa ubunifu ndio unakuingizia hela, kuna watu wametengeneza software zao wanahangaika kila siku hawana kipato cha maana, na kuna wengine wanatengeneza ki game kama flappy bird wanaingiza mamia ya mamilioni kwa siku.
Mkuu Mkwawa naombwa kujuzwa kuhusu utofauti wa kusomea Programing na kusomea Software
 
Hapo hakuna ninalolijua kuhusu utofauti wa kusomea Software na programming ndio maana naomba kujuzwa utofauti uliopo
Ahsante
Yani haya maneno Yana maana pana sana. Ila kifupi programming ni ku andika hizo lugha za computer, na software inaweza kuwa software designer, ama developer, ama engineer etc. Software ni pana zaidi ina involve hayo mambo ya programming na zaidi.

Vyema kama ni Course ukaangalia Contents zake za ndani.
 
Ukijua vyote hapo chini utakuwa una uwanja mpana sana wa kutengeneza pesa.
Kikubwa unatakiwa uwe mbunifu na ujue kwenye soko la tech wanahitaji nini.
Unaweza kutengeneza blogger au wordpress template ukauza
Unaweza kutengeneza software za kuunlock simu, modem au router.
Unaweza kutengeneza software yoyote ukauza n.k mambo yako mengi.
Ni kujiongeza tu. Mfano kwa sasa kuna shida ya Paypal kwahiyo unaweza kuja na mbadala wako wa paypal kwa TZ
Bro nimepata chance ya chuo ya kwenda kusoma sasa broo ni some wapi nijikwamue
Mfano
Kuna Web design
Maintenance
Graphics
Database
Programming
Software engineering
Na nyinginezo nyingi broo

Naombeni sanaa msaada wenu maana kazi ninayo na ada ninayo na ruhusa nimesha haidiwa na boss wangu
 
Mkuu Mkwawa naombwa kujuzwa kuhusu utofauti wa kusomea Programing na kusomea Software
Software ni maagizo yanayofatwa na Computer kwa ajiri ya kutekeleza jambo fulani

Kitendo cha kuifanya computer kutekeleza jambo fulani kwa kutumia software tunaita 'programming'

Tumei 'program' computer

Programming ni jinsi ya kuandika software...
 
Yani haya maneno Yana maana pana sana. Ila kifupi programming ni ku andika hizo lugha za computer, na software inaweza kuwa software designer, ama developer, ama engineer etc. Software ni pana zaidi ina involve hayo mambo ya programming na zaidi.

Vyema kama ni Course ukaangalia Contents zake za ndani.
Ahsante sana mkuu, nilipendelea hii ya software design ili niweze kudesign software na kuziuza
 
Software ni maagizo yanayofatwa na Computer kwa ajiri ya kutekeleza jambo fulani

Kitendo cha kuifanya computer kutekeleza jambo fulani kwa kutumia software tunaita 'programming'

Tumei 'program' computer

Programming ni jinsi ya kuandika software...
Ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi huu
 
Back
Top Bottom