Kwa kujua coding/programming, unawezaje kutengeneza pesa?

Labda nchi nyingine, shida kibongobongo tunachukuliana poa sana, roho mbaya,chuki na wivu,hizi mambo hata uwe mzuri utasanda tu,pia taifa halina sera ya dhati ya kuinua watu kwenye hizi taaluma.Ukija huku maofisini ndo usiseme system administrator atakupiga zengwe akijua tu unajua hata kama unavolunteer, ndo mana mimi nimeamua kujikita kwenye electronics hasa computer maintenance na mshine zingine lakini ni shida majungu kila kona..chuo nilichosoma kuna jamaa alitupita mwaka mmoja same course jamaa alikuwa anajua code balaa zile from the scratch sio za kukariri basi ndo akawa kama mkombozi wetu ticha akizingua tunamfata mtaalam anatunyooshea kama kazitunga yeye..walipokuja kugundua zengwe likaundwa, jamaa akadisco semista ya sita badala ya kumsupport..asee ngozi nyeusi mahali kuna kitu hakijakaa sawa..
 
Labda nchi nyingine, shida kibongobongo tunachukuliana poa sana, roho mbaya,chuki na wivu,hizi mambo hata uwe mzuri utasanda tu,pia taifa halina sera ya dhati ya kuinua watu kwenye hizi taaluma.Ukija huku maofisini ndo usiseme system administrator atakupiga zengwe akijua tu unajua hata kama unavolunteer, ndo mana mimi nimeamua kujikita kwenye electronics hasa computer maintenance na mshine zingine lakini ni shida majungu kila kona..chuo nilichosoma kuna jamaa alitupita mwaka mmoja same course jamaa alikuwa anajua code balaa zile from the scratch sio za kukariri basi ndo akawa kama mkombozi wetu ticha akizingua tunamfata mtaalam anatunyooshea kama kazitunga yeye..walipokuja kugundua zengwe likaundwa, jamaa akadisco semista ya sita badala ya kumsupport..asee ngozi nyeusi mahali kuna kitu hakijakaa sawa..
So sad😑
 
Watu wa Mungu nawasalimu kwa jina la jamhuri.

Umekuwepo msemo eti ujijua programming vizuri utapiga sana pesa, lakini kila unayemuuliza unapigaje pesa hafunguki kabisa!

Sasa wataalamu hebu leo mtutoe tongo tongo, ukiiva vizuri katika coding unawezaje kupiga pesa? Tusaidiane vijana wapate motive tuupige ko umaskini.

Thanks.

Regards,

Da Hustla.

njoo inbox mkuu
 
Labda nchi nyingine, shida kibongobongo tunachukuliana poa sana, roho mbaya,chuki na wivu,hizi mambo hata uwe mzuri utasanda tu,pia taifa halina sera ya dhati ya kuinua watu kwenye hizi taaluma.Ukija huku maofisini ndo usiseme system administrator atakupiga zengwe akijua tu unajua hata kama unavolunteer, ndo mana mimi nimeamua kujikita kwenye electronics hasa computer maintenance na mshine zingine lakini ni shida majungu kila kona..chuo nilichosoma kuna jamaa alitupita mwaka mmoja same course jamaa alikuwa anajua code balaa zile from the scratch sio za kukariri basi ndo akawa kama mkombozi wetu ticha akizingua tunamfata mtaalam anatunyooshea kama kazitunga yeye..walipokuja kugundua zengwe likaundwa, jamaa akadisco semista ya sita badala ya kumsupport..asee ngozi nyeusi mahali kuna kitu hakijakaa sawa..
Daah kwa hio mwana wali force a disco?
 
Labda nchi nyingine, shida kibongobongo tunachukuliana poa sana, roho mbaya,chuki na wivu,hizi mambo hata uwe mzuri utasanda tu,pia taifa halina sera ya dhati ya kuinua watu kwenye hizi taaluma.Ukija huku maofisini ndo usiseme system administrator atakupiga zengwe akijua tu unajua hata kama unavolunteer, ndo mana mimi nimeamua kujikita kwenye electronics hasa computer maintenance na mshine zingine lakini ni shida majungu kila
Ila pia Watanzania tumejenga reputation mbaya ya utapeli. Kuna matapeli kibao Bongo wanachukua kazi za watu na hawafanyi kwa uaminifu. Sasa mtu akikutana na matapeli wanne wa hivi bado atakuwa na imani na Wabongo? Tujifunze pia uaminifu. Tujenge kuaminika, itasaidia mpaka vizazi vijavyo!
 
Back
Top Bottom