Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Bila ya Kabila kumkubali Tshisekedi asingeshinda Uchaguzi Kongo, hivyo hilo ni fundisho kwa chadema uadui na chuki dhidi ya Raisi wa JMTZ ambaye ndiye Mkuu wa CCM hakuna mahali mtaenda, kwani tumeona hata Kongo when shit hits the fan, Raisi ana uwezo wa kumwachia atakayemchagua hata kama ni wa Upinzani, hivyo kwa Tanzania anaweza akaachiwa Cheyo au hata Mrema kwa mfano, ...