Kwa kina dada tu; ingekuwa wewe ungefanyaje?

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
angeenda kuwasalimia tu_haruhusiwi kufanya kitu kingne, kwa wale ambao hawajazaa(hawajabahatika/wameona hiv karibuni) wakipewa fursa ya kufanya uchaguz tena 90% hawatarudiana preta, though wengne ni tabia na wengne mis_satifaction kwny ndoa zao_in short hakuna alphabets au fomulars za utatuz_majority hukimbilia kwa kujikinga kwa kuzishika vilivyo amri za M/mungu kama kuoka na mengne meng lakn pia huko huko utasikia padr/askof anagonga mzigo wako_jambo la msing muombe Mungu ktk sehem ya mtihan wako wa maisha swala hili lisiwemo
<br />
<br />
some how umejaribu kumshauri
 
Nadhani hayo niliyoyaona nimeyaona kwavile I happened to be there @ that time,so ningeyaachia hukohuko...<br />
<br />
kuna siku niliingia duka moja Eastgate mall, na nilimkuta mume wa shosti wangu na mdada mmoja wanafanya shopping ya nguvu na vicheko juu na kupimishana nguo...esp Bra's na G strings<br />
<br />
Wakati naondoka yule dada aliniona lakini nadhani hakuwa na kumbukumbu amenionea wapi.... <br />
<br />
Mimi wala sikumwambia huyo shosti wangu wala sikujishughulisha na hiyo issue baada ya kurudi.<br />
<br />
Kuna siku nilialikwa kwenye suprise birthday party ya huyo shosti kama miezi 2 iliyofuata na katika zawadi nyingi alizopatiwa na mumewe ni zile nilizoona zikiwa fitted kwa yule dada, hivyo alienda naye pale ili apate correct wifey fittings na si zaidi<br />
<br />
Wakati tumekaa ndio yule dada mfanyakazi mwenzie na huyo mume wa shosti wangu akasema nakumbuka tulionana wkt wa shopping ya hizi nguo na akasema nimekufananisha maana unakuja kwenye clinic kwangu, <br />
<br />
Nikajiwazia kama ningemuambia shosti kwanza ningewreck marriage yake, na clinic ingeota mbawa, halafu sikuwa na uhakika anyways.<br />
<br />
Mimi nadhani haya mambo si ya kusema, sanasana wa kumface ni huyo mume unamwambia nimekuona...! Ili ajue kuwa next time kinanuka
<br />
<br />
Kweli hapo kuna cha kujifunza. Pia NO RESEARCH NO DATA & NO RIGHT TO SPEAK
 
Pia ujiandae kwa concequences baada ya kutoa taarifa, usishangae huyo shost wako akakugeuzia kibao, mapenzi ya watu waachie wenyewe!!

<br />
<br />

unapiga kimya huku unaona ndoa ya shostito inaingia ibirisi? Huoni ni vyema kumwambia shosti ili ajue what she is into! Ukizingatia anamuamini sana mumewe kiasi kwamba kucheck afya ni kipindi cha kuanza clinic tu!

Na si ajabu amenuaga kaenda kijijini kwa wazazi!
 
Back
Top Bottom