Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
<br /><br /><br />
<br /<br />
angeenda kuwasalimia tu_haruhusiwi kufanya kitu kingne, kwa wale ambao hawajazaa(hawajabahatika/wameona hiv karibuni) wakipewa fursa ya kufanya uchaguz tena 90% hawatarudiana preta, though wengne ni tabia na wengne mis_satifaction kwny ndoa zao_in short hakuna alphabets au fomulars za utatuz_majority hukimbilia kwa kujikinga kwa kuzishika vilivyo amri za M/mungu kama kuoka na mengne meng lakn pia huko huko utasikia padr/askof anagonga mzigo wako_jambo la msing muombe Mungu ktk sehem ya mtihan wako wa maisha swala hili lisiwemo
<br />
some how umejaribu kumshauri