Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Baada ya hotuba ya Magufuli jana Bungeni, zimeanza kuibuka hisia kuwa hotuba ya Magufuli kwa kiasi fulani ililenga kumponda mtangulizi wake.Wanaolaumu wanadai Kikwete ni Raisi mstaafu na anapaswa kuheshimiwa.
Mimi naomba niwaulize hawa watu.Hivi Lowassa aliedhalilishwa na kudhihakiwa wakati wa kampeni hakuwa kiongozi mstaafu wa kitaifa?
Maneno aliotumia Magufuli katika hotuba yake unaweza ukayalinganisha na maneno yaliyotumiwa na makada wa CCM dhidi ya Lowassa?
Tuache hii doublestandard, haitusaidii!
Mimi naomba niwaulize hawa watu.Hivi Lowassa aliedhalilishwa na kudhihakiwa wakati wa kampeni hakuwa kiongozi mstaafu wa kitaifa?
Maneno aliotumia Magufuli katika hotuba yake unaweza ukayalinganisha na maneno yaliyotumiwa na makada wa CCM dhidi ya Lowassa?
Tuache hii doublestandard, haitusaidii!