Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

Yaani wewe, acha mpira na toka kabisa jamii forum , Ujerumani Bingwa, time will tell.


Hongereni Wajerumani Kwa Kubeba Ubingwa tokea Hatua Ya Makundi... Kuna Kasentensi Munakatafsiri Vibaya eti "Time Will Tell" When?
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)

DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)

MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)

FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)

KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN YA KUBEBA UBINGWA. JE, WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)

Je, katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??

View attachment 670707
Nahisi ushachoma mpaka jezi
 
Mpira sasa ivi upo ulaya timu za amerika kusini zote zimetolewa na tmu za ulaya.
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)

DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)

MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)

FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)

KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN YA KUBEBA UBINGWA. JE, WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)

Je, katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??

View attachment 670707
Ingekuwa hii sawa palikuwa na watu wa kuwaamini kuwa watafanya sasa hawa wakujipamba na totto mwili mzima.
 
Hahahhahhahahahahhahahahahhaha


Nimecheka mpaka basi

World cup ni mpira sio majina

AHAHhahahahhhhhhhhhhhahhahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Mkuu britanicca nafikiri utakuwa umeacha kabisa ushabiki wa mpira na humu JF hutaonekana tena. Ha ha ha ha ha, pole mkuu, lakini kumbuka wakati mwengine unatakiwa kuweka akiba ya maneno yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom