Kwa kesi hii anaweza kulipishwa?

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,038
Reaction score
13,358
Wakuu,

Huyu mjamaa ana ofisi mahala ya duka, walikuja watu wakamwomba waweke mali zao wanakuja zipitia

Mali zikawekwa nje zina samani ya laki 7 zikapotea ambapo aliechiwa alipata dhArula

Je, anawajibika kulipa mahakamani mad
 
Kuna maandishi ya kukagua na kupokea mzigo? Huwezi fungwa wala kulazinishwa ulipe kama hapakuwa na makabidhianobya kueleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…