DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Wanaukumbi
Rejea kauli ya Rais Magufuli akimtaka Bashite kufanya kazi, binafsi imenifedhehesha sana.
Ili angalau niipende tena Tanzania nahitaji Press Conference ya Mbunge WA Arusha Mjini Godbless Lema pamoja na Rais wa Tanganyika Law Society Tundu Anthipas Mughway Lissu,juu ya Bashite kuendelea kuhudumu ktk ofisi ya umma
Rejea kauli ya Rais Magufuli akimtaka Bashite kufanya kazi, binafsi imenifedhehesha sana.
Ili angalau niipende tena Tanzania nahitaji Press Conference ya Mbunge WA Arusha Mjini Godbless Lema pamoja na Rais wa Tanganyika Law Society Tundu Anthipas Mughway Lissu,juu ya Bashite kuendelea kuhudumu ktk ofisi ya umma