Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,476
- 2,651
Wasalaam, ukisikiliza kauli alioitoa bungeni leo, ukimwangalia usoni mh musukuma utagundua anachuki kubwa dhidi ya mbunge lissu. Usikiliza kauli ya mh spika ndugai ya kuunga mkono alichosema musukuma utagundua ccm ndio wale watu waliojipa jina "watu wasiojulikana. Inawezekana kabisa kauli hii ni ya ccm ila wamemtuma huyu musukuma kulianzisha dude. Hapa nakumbuka na ninaanza kuamini ni kweli kuna njama za kumvua ubunge mh tundu lissu.
Hapa inaonyesha ccm wanahusika kwa namna moja ama nyingine na jaribio la mauaji(politics assassination) dhidi ya mbunge wa singinda mashariki mh lissu. Watanzania wote tunaona hata ukivaa miwani ya mbao, kwamba mh lissu bado anatembea na wheel chair na magongo pia bado anaonekana ana vyuma vingi mwilini, isitoshe anaejua mgonjwa kapona au LA ni jopo LA madakitari wanaomtibibu lissu. Hawa madakitari ndo watasema mgonjwa akipona, wataandika ripoti yao na kudischarge mgonjwa arudi nyumbani.
Ccm wanausubutu upi kwa kuzuia mshahara kwa mh lissu? Tujiulize je hawa kina musukuma na ccm ni watanzania kweli na wazalendo? Uko wapi Utu wa mtu? Nilitegemea mh ndugai na serikari ya ccm wangemsaidia mtanzania huyu kumlipia gharama za matibabu na kumwombea kwa mola mtukufu apone upesi. Ni ibilisi gani kawaingia ccm? Nilitegemea spika angetoa mwongozo dhidi ya kàuli ile na ingepigiwa kura, sio kusapoti kauli ya kijinga iliotolewa na musukumu. Ikubukwe lissu ni mtanzania na hakujipeleka huko kustarehe Bali anatibia majeraha yake baada ya kushambuliwa kwa risasi kama zote vile 30+.
Ova
Hapa inaonyesha ccm wanahusika kwa namna moja ama nyingine na jaribio la mauaji(politics assassination) dhidi ya mbunge wa singinda mashariki mh lissu. Watanzania wote tunaona hata ukivaa miwani ya mbao, kwamba mh lissu bado anatembea na wheel chair na magongo pia bado anaonekana ana vyuma vingi mwilini, isitoshe anaejua mgonjwa kapona au LA ni jopo LA madakitari wanaomtibibu lissu. Hawa madakitari ndo watasema mgonjwa akipona, wataandika ripoti yao na kudischarge mgonjwa arudi nyumbani.
Ccm wanausubutu upi kwa kuzuia mshahara kwa mh lissu? Tujiulize je hawa kina musukuma na ccm ni watanzania kweli na wazalendo? Uko wapi Utu wa mtu? Nilitegemea mh ndugai na serikari ya ccm wangemsaidia mtanzania huyu kumlipia gharama za matibabu na kumwombea kwa mola mtukufu apone upesi. Ni ibilisi gani kawaingia ccm? Nilitegemea spika angetoa mwongozo dhidi ya kàuli ile na ingepigiwa kura, sio kusapoti kauli ya kijinga iliotolewa na musukumu. Ikubukwe lissu ni mtanzania na hakujipeleka huko kustarehe Bali anatibia majeraha yake baada ya kushambuliwa kwa risasi kama zote vile 30+.
Ova