Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,457
- 2,089
hebu nitajie hayo mafanikio kwa siku 25...ameanza vizuri Rais wetu. Makini kusema wamepata mafanikio zaidi ya ile miaka 2 ya Lowassa ni hyper reality.
Sasa kukamata makontena ambayo hayajalipiwa ushuru si mafanikio?? Kukata matumizi yasiyo ya lazima ambayo yanaweza kutengeza lami kilimota 400 si mafanikio?? Au kwao mafanikio ni nini???