Endeleeni kufuatilia. Siku zote naamini Gwajima ndio mtanzania mwenye intellijensia kali zaidi ya wote (as a personal)
Kwa hiyo ile camera kashikiwa ?? Acha kuwa kipofu weweGwajima hawezi kujirekodi ww
Acheni utahira.. gwajima na akili zake hawezi kufanya kitu kama hichoHata akituambia alie ivujisha ile video haita ondoa ukweli kwamba ni mzinzi halafu anapenda kuangalia video chafu za ngono ndio maana anajirekodi, hili limemuondolea sifa ya kuwa askofu, cha maana ATUBU hii dhambi na akikri alifanya kosa, kuja na idea ya kusema alievujisha ni ujinga mwingine.
Kwa nini unajichukulia dhamana juu ya mtu kiasi hiki?Gwajima hawezi kujirekodi ww
Kwa nini unajichukulia dhamana juu ya mtu kiasi hiki?
Wewe ndio Gwajima?
Katika hili jaribu kutulia halafu utuandike hapa nani TAAHIRA, kosa lenu mmelishwa pepo mkabugia..Acheni utahira.. gwajima na akili zake hawezi kufanya kitu kama hicho
We ni Zuzu originalInasemekana picha za Gwajima zimeletwa kutaka kuwatoa watu kwenye mstari wasijadili swala kwa kutekwa watu?
Kwahiyo yule ni Malaika au sio?Acheni utahira.. gwajima na akili zake hawezi kufanya kitu kama hicho
Endeleeni kufuatilia. Siku zote naamini Gwajima ndio mtanzania mwenye intellijensia kali zaidi ya wote (as a personal)
Kwahiyo wengine video zao wanazivujisha wenyewe?Ww kwa akil zako unaweza kujirecord uki fanya mapenz na demu wako then uka sambaza mtandaon??
Angekuwa na intelijensia Kali zaidi Tanzania angejirekodi kifala vile?