johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,701
- 143,126
Tanzania ilipigana na Uganda 1978 Libya ilimpa Idd Amin kila aina ya Silaha lakini hazikusaidia chochote zote zilitekwa na Baada ya Vita kwa dharau kabisa Mwalimu Nyerere akavirejesha kwa Gadafi
Sasa nashuhudia hapa kupitia Al jazeera msululu wa zana za Kivita za kila aina ukielekea Israel
Mungu wa mbinguni tupe Amani!
Sasa nashuhudia hapa kupitia Al jazeera msululu wa zana za Kivita za kila aina ukielekea Israel
Mungu wa mbinguni tupe Amani!