yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Faru John ana mbwembwe
nyie ndio mnaomfanya max melo aendelee kushikiliwa.
Faru John ana mbwembwe
umenikumbusha mrembo mmoja nilim, shake well, akawa ananiambia, asante Ali kiba, oh Ali kiba, oiii Ali kibaaaa! Akili za mbayuwayu nikachanganya na zanguHahahaaaaa Faiza na Kikwete ni sawa na mimi na Ali Kiba.
Picha ya kwanza Nyerere alikuwa mweusi ila baada ya kunywa Maji mengi akawa mweupe hahaha kumbe kujichubua kumeanzia mbali sana.
bro hujaachaga vituko tu?umenikumbusha mrembo mmoja nilim, shake well, akawa ananiambia, asante Ali kiba, oh Ali kiba, oiii Ali kibaaaa! Akili za mbayuwayu nikachanganya na zangu
ndo ugunduzi wako wa haraka uo... aaaah aaaah aaah kweli.. "live in space or die out-stephen hawkings"Ma sha Allah, Kikwete handsome kuliko wote hao.
Wazungu ndio huwa wanaita internal conflicts eti???huyo ana matatizo na nafsi yake, Hana amani mdani mwake, haya tuyaonayo ni matokeo ya crisis kubwa ndani mwake
Thubutu, siwezi kupoteza mechi sababu ya kiba wewe, tena ndo nikaanza chekechax2 cheketua! Kwa kubana pua naskia oooh kibaa so uniacheee!bro hujaachaga vituko tu?
I wish ungenisimulia hii live.
Hahahaaaaaa
Hata hivyo una moyo,angekuwa mwingine 'pambano' lingevunjika.
Kweli kiongozi nakubaliana na wewe. No matter mjapan Mungu akampenda zaidi kama ndoto ya Trump wa Rchuga.Wazungu ndio huwa wanaita internal conflicts eti???
Ukiwa na aman moyoni hukasiriki kasiriki hovyo ht siku za kuishi zinakua miiingiiii
nitafute hahahaha,!bro hujaachaga vituko tu?
I wish ungenisimulia hii live.
'pambano' lingevunjika.
Wazungu ndio huwa wanaita internal conflicts eti???
Ukiwa na aman moyoni hukasiriki kasiriki hovyo ht siku za kuishi zinakua miiingiiii
PoaTuombe kheri my brother.
Nitakupigia namba yako ninayo
Ivi uwa anacheka?Wazungu ndio huwa wanaita internal conflicts eti???
Ukiwa na aman moyoni hukasiriki kasiriki hovyo ht siku za kuishi zinakua miiingiiii