Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 408
- 182
kwanini
wanawake mnakuwa na roho mbaya kiasi hiki? Leo nataka mfunguke kwanini
mnashindwa kuoneshana upendo kati yenu. Utakuta mama mjamzito au mama
mwenye mtoto anasimama kwenye gari wakati wanawake wenzake wemekaa mbaya
zaidi wanajifanya kama hawamuoni hapa bila mkaka kumpisha ujue
atasimama mpaka mwisho wa safari. HIVI KWANINI WANAWAKE HAMPENDANI?
wanawake mnakuwa na roho mbaya kiasi hiki? Leo nataka mfunguke kwanini
mnashindwa kuoneshana upendo kati yenu. Utakuta mama mjamzito au mama
mwenye mtoto anasimama kwenye gari wakati wanawake wenzake wemekaa mbaya
zaidi wanajifanya kama hawamuoni hapa bila mkaka kumpisha ujue
atasimama mpaka mwisho wa safari. HIVI KWANINI WANAWAKE HAMPENDANI?