KWA HILI , UTUMISHI SIWAELEWAGI KABISA

The real Daniel

JF-Expert Member
Jan 5, 2017
2,117
7,817
Nawasalumu wakuu,
Kumekuwa na tatizo moja kwenye kazi zinazotangazwa na utumishi. Unakuta tangazo limetolewa kwamba tunahitaji watu kwenye kazi fulani, mfano research assistant na wanaorodhesha degree wanazohitaji pamoja na wanaweka uwanja wa other related fields.
Then watu wa course mbali mbali wanaomba kazi na utumishi wanawaita wote ambao wanavigezo ingawa wamesoma course tofauti.
Tatizo ni siku ya interview, unakuta yule msimamizi anasema watu wa course flani na flani hamtaruhusiwa kufanya written interview kwahiyo muondoke na wa kweli wanawazuia kuingia kwenye mtihani.
Sasa kinachinishangaza mimi ni kwamba kama ulikuwa haukidhi vigezo, nikwanini walikuita
Mfano kuna interview ilifanyika kule arisha kwenye institute moja ambayo iliwatumia utumishi kutangaza kazi na kuendesha interviews. Sasa kuna watu walitoka mtwara mpaka Arusha, lakin wakaambiwa kwamba course yao haikidhi vigezo na hawakufanya peper kabisa. Sasa unajiuliza kwanini walikuwa shortlisted kama course yao hailingani na kazi iliyotangazwa? Na je gharama zao ninanj anawarudishia?
Nawasirisha
 
Nawasalumu wakuu,
Kumekuwa na tatizo moja kwenye kazi zinazotangazwa na utumishi. Unakuta tangazo limetolewa kwamba tunahitaji watu kwenye kazi fulani, mfano research assistant na wanaorodhesha degree wanazohitaji pamoja na wanaweka uwanja wa other related fields.
Then watu wa course mbali mbali wanaomba kazi na utumishi wanawaita wote ambao wanavigezo ingawa wamesoma course tofauti.
Tatizo ni siku ya interview, unakuta yule msimamizi anasema watu wa course flani na flani hamtaruhusiwa kufanya written interview kwahiyo muondoke na wa kweli wanawazuia kuingia kwenye mtihani.
Sasa kinachinishangaza mimi ni kwamba kama ulikuwa haukidhi vigezo, nikwanini walikuita
Mfano kuna interview ilifanyika kule arisha kwenye institute moja ambayo iliwatumia utumishi kutangaza kazi na kuendesha interviews. Sasa kuna watu walitoka mtwara mpaka Arusha, lakin wakaambiwa kwamba course yao haikidhi vigezo na hawakufanya peper kabisa. Sasa unajiuliza kwanini walikuwa shortlisted kama course yao hailingani na kazi iliyotangazwa? Na je gharama zao ninanj anawarudishia?
Nawasirisha
wanazingua mtu unatumia pesa nyingi halafu hupat ajira,kila kanda kungetakiwa kuwe na site ya kufanyia INTERVIEW kupunguza gharama,lakini wapi watu wamekaa tuu hawajui shida za wengine duu😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖
 
Wanaweza wakawa na mapungufu yao ila ni bora sekretarieti ya ajira kuliko makampuni au taasisi kuajili zenyewe. Ningependekeza waamie Dodoma ili kubalance umbali maana kwa watu wanaotoka kagera na kigomo kuja dar kufanya interview wanaonewa sana na gharama ni nyingi mno plus umbali yani nilazima alale njiani. Nafikili kwa mfumo wa sasa graduates waliopo dar, pwani na morogoro wapo likely kupata kazi kuliko wa mikoani maana wanaweza kuomba kazi kila utumishi wanapotangaza kwani swala la nauli kwenda kufanya interview kwao sio tatizo, nauli shilingi 8,000 kutoka morogoro, cjui shillingi 2000 kwa watu wa pwani, wale wa dar ndo kabisa usiseme wakati kutoka kagera nauli 60,000 kwenda na kuludi 120,000 ujaweka guest na chakula.
 
Back
Top Bottom