yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
Mgambo wako wapi jamani, si watembeze viboko mpaka ofisini kwa Lema. Naona huyu amerudia siasa za fujo,safari hii serikali itamshughulikia kiume, ni kupiga mpaka anasahau nyumbani.
mateso hayo yalikoma D21..chezea CHADEMA