Mbongo, kwa hili, serikali did the right thing!. Hao wasomali walikuja nchini 1973, wazazi waliokuja wengi wamefia hapo, wanaopewa uraia ni watoto ambao wamezaliwa Tanzaniam hawaongei tena Kisomali bali Kizigua na Kiswahili.
Wanachofanyiwa ni kupewa tuu birth right ya kuzaliwa nchini hao watoto, hivyo lazima uwape uraia na watoto wao.
Hatua hii ni moja ya masuluhisho matatu makuu ya tatozo la wakimbizi duniani kote, inaitwa Intergration, mengine ni Repatriation, kuwajesha kwao na Resettlment into a 3rd Country, yaani kuwapeleka nchi nyingine. Kwa hao wakimbizi wa Kisomali, intergration is the best option.