BORNCV
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 242
- 46
Namsifu sana Hayati Mwl. J. K Nyerere kwa uzalendo wake kwa taifa lake lakini nasikitika kwamba umetuchia matatizo makubwa sana, kwani viongozi wengi waliopo sasa akiwepo mkuu wa kaya wametokana nae/wamefanya kazi pamoja/wametoka ktk chama alichokianzisha yeye na ndio wanaotusumbua na kufisadi taifa letu tukufu, kwa hapa kweli hakufanikiwa.