Vijijini Lawama
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 298
- 73
Ha ha ha mbona hii habari inaonekana kuwaumiza vichwa sana watu wa CCM, Kama hawa mabwana ni wazuri CCM wachukueni. jirani yako akifukuza mwanamke au mwanamke akimkacha mwanaume nawe unamwona anafaa oa au olewa naye, ndo dawa pekee ya kudhihirisha kuwa huyo mtu ni mzuri.