Kwa hili Lissu umenikera sana

Kwa hili Lissu umenikera sana

kailakarama

Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
73
Reaction score
30
Hilo ndilo swali ambalo JK alimtwanga Tundu Lissu jana, pale Lissu alipomuomba Rais asitishe shughuli za Bunge kwa madai kuwa limekosa muelekeo. Rais akamwambia: "LISSU wewe ndiyo ulitoa pendekezo Bungeni kuwa madaraka ya Rais yaishie kuteua Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na baada ya hapo asiwe na mamlaka yoyote ya kuingilia Bunge, leo unataka nilisitishe, kwa sheria ipi?" LISSU kichwa chini.
 
Sheria ipi ilimpa madaraka ya kuanzisha mchakato wa katiba huyo mrisho?
 
Hilo ndilo swali ambalo JK alimtwanga Tundu Lissu jana, pale Lissu alipomuomba Rais asitishe shughuli za Bunge kwa madai kuwa limekosa muelekeo. Rais akamwambia: "LISSU wewe ndiyo ulitoa pendekezo Bungeni kuwa madaraka ya Rais yaishie kuteua Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na baadada ya hapo asiwe na mamlaka yoyote ya kuingilia Bunge, leo unataka nilisitishe, kwa sheria ipi?" LISSU kichwa chini.

Lilipo sitishwa kupisha bunge la budget ni sheria gani iliyo tumika? Sheria haimruhusu na pia haimkatazi!
 
Hilo ndilo swali ambalo JK alimtwanga Tundu Lissu jana, pale Lissu alipomuomba Rais asitishe shughuli za Bunge kwa madai kuwa limekosa muelekeo. Rais akamwambia: "LISSU wewe ndiyo ulitoa pendekezo Bungeni kuwa madaraka ya Rais yaishie kuteua Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na baadada ya hapo asiwe na mamlaka yoyote ya kuingilia Bunge, leo unataka nilisitishe, kwa sheria ipi?" LISSU kichwa chini.

na wao wakatafuta mbinu za kuukwamisha mchakato baada ya LIssu kuwazidi maarifa ya kuondoa nguvu za Rais kuingilia mchakato.
 
Tobo Lisu haeleweki hana msimamo ni sawa na bendera inayofuata upepo.
 
Kailakarama, nadhani wewe ndo humuelewi JK vizuri. kama utakuwa na kumbukumbu makini,ulitakiwa kabla hujamsakama Lisu, ujiulize hivi "Mamlaka ya JK ya kusitisha BMK kupisha Bunge la Bajeti aliyatoa wapi"? Je, wakati huo hakufahamu kuwa anaingilia mchakato wa upatikanaji wa katiba? Iweje leo anasema kuwa sheria ya mabadiliko ya katiba haipatii fursa hiyo? wakati ule sheria iliyompatia fursa hiyo aliitoa wapi? Je, si Hekima kutumia Busara ile ile iliyompatia fursa ya kusitisha kwa muda BMK ili kupisha bunge la bajeti kwa ajili ya kunasua mkwamo huu?
Nadhani unahitaji kufikiri kwa kina na mapana kabla ya kukurupuka na bk 7 wenzio kuleta pumba hapa.
 
Lakini bado Jk ana madaraka ye ndio top wa nchi
 
kwani ni sheria ipi pia inampatia rais haki ya kuliongezea bunge la katiba muda wa kuendelea na vikao? hivi pale bungeni akina 6 wakianza kujadili namna ya kumpindua jk, yeye,jk, atakaa kimya eti kwa kuwa hana mamlaka ya kulivunja bunge!?
 
Hilo ndilo swali ambalo JK alimtwanga Tundu Lissu jana, pale Lissu alipomuomba Rais asitishe shughuli za Bunge kwa madai kuwa limekosa muelekeo. Rais akamwambia: "LISSU wewe ndiyo ulitoa pendekezo Bungeni kuwa madaraka ya Rais yaishie kuteua Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na baada ya hapo asiwe na mamlaka yoyote ya kuingilia Bunge, leo unataka nilisitishe, kwa sheria ipi?" LISSU kichwa chini.
Lissu, siku zote ni mtu wa kujichanganya mwenyewe.
 
Kuna baadhi ya watu humo bungeni wameenda kusafisha nyota tu na ndo maana maigizo hayaishi daily!
 
huna sera ww inaonekana unamrija kwenye wala posho hko dodoma ! lakini mjue mwazo ya wananchi mnayoyazika yatawalaani na malipo mbeleni mtaaibika
 
Kailakarama, nadhani wewe ndo humuelewi JK vizuri. kama utakuwa na kumbukumbu makini,ulitakiwa kabla hujamsakama Lisu, ujiulize hivi "Mamlaka ya JK ya kusitisha BMK kupisha Bunge la Bajeti aliyatoa wapi"? Je, wakati huo hakufahamu kuwa anaingilia mchakato wa upatikanaji wa katiba? Iweje leo anasema kuwa sheria ya mabadiliko ya katiba haipatii fursa hiyo? wakati ule sheria iliyompatia fursa hiyo aliitoa wapi? Je, si Hekima kutumia Busara ile ile iliyompatia fursa ya kusitisha kwa muda BMK ili kupisha bunge la bajeti kwa ajili ya kunasua mkwamo huu?
Nadhani unahitaji kufikiri kwa kina na mapana kabla ya kukurupuka na bk 7 wenzio kuleta pumba hapa.

Usisahau pia mamlaka ya kuongeza muda na posho anao ila mamlaka ya kusitisha hana, huyo ndy JK,
mbunge flani aliwahi kusema Tz viongozi ni walaghai na vigeu geu!!!!!
 
Lisu huwa hajitambui alaf jazba sana kiasi kwamba hawezi hata kukumbuka kilichokwishatokea
 
kwani ni sheria ipi pia inampatia rais haki ya kuliongezea bunge la katiba muda wa kuendelea na vikao? hivi pale bungeni akina 6 wakianza kujadili namna ya kumpindua jk, yeye,jk, atakaa kimya eti kwa kuwa hana mamlaka ya kulivunja bunge!?
kwani wale ni vichaa kama ukawa hadi wajadili kupindua? pili wewe uliwahi kuwaza kuwa ipo siku utampindua baba yako? kibwetele mkubwa wewe, wasalimie UKAWA.
 
Back
Top Bottom