Serous?! Hivi hata aibu huoni wakati kila mwaka kwenye 10 bora mbovu kwa kila hatua zinajaa shule za serikali!!!Mkuu hio ni itikadi ya kizamani,kwasasa hakuna shule zenye mafunzo mazuri kama za serikali
Zamani ipi ambayo watu ndo walikuwa wanaziona private school bab kubwa? Binafsi hiyo zamani nilisoma private na watu walikuwa wanatuona vilaza hadi tulipoanza kuziburuza government schools ndo adabu ikatamalaki!!Zamani ndio tulikuwa tukiziona shule za private babkubwa na kuzidharau shule za aerikali,
Btw, unaweza kutaja shule 5 bora za serikali na mimi nitaje 5 bora za private halafu tuangalie matokeo yao?
Private za uchochoroni hizo na zimejaa kibao kuibia watu!!...lkn mambo yakabadilika mimi nilimtoa shule ta private mmt wangu na kumhamishia shule ya serikali kwasbb nilishaona na kuyapima maendeleo ya masomo ya mtoto
Mada ni shule sio hospitali lakini kwa kukusaidia tu, watu wanajali sana private hospital kwa ajili ya huduma. Watu wangependa waende mara moja, wahudumiwe waondoke wakafanye shughuli zingine na sio siku ya mtu kwenda hospitali ndo basi tena kila kitu kisimame!!!Sambamba na hospitali wengi wanazidharau hospitali za rufaa na kuzithamini hospitali za private kwa mfano Aghakhan,TMJ,au Hindumandal,lkn ukizama kiundani zaidi hsptl za rufaa ndio zinawataalam wa uhakika vifaa vya kutosha navya kisasa kuliko hata hosptl za privates
Kwasasa zimebakia majina tu,lkn sio kwa huduma
Hospitali inaweza kuwa na madaktari wote ambao ni maprofesa na vifaa vyenye hadhi ya platinum but what matters ni uwajibikaji wa hao wataalamu na sio vyeti vyao!!!
Unaongea siasa!!!!