Naam, Naam.Ulimwengu ni mwandishi mzuri mkuu, nadhani atakuwa ameandika kama MOCKERY au Joke fulani kumconscietize mkwere afumbue macho hata kama hataki kuyafumbua!
Ulimwengu ni mwandishi mzuri mkuu, nadhani atakuwa ameandika kama MOCKERY au Joke fulani kumconscietize mkwere afumbue macho hata kama hataki kuyafumbua!
Barua ndefu sana siwezi kusoma yote kwa hiyo sina cha kucoment
Njaa mbaya jamani...adui yako umuombee njaa tu.Opportunism at the highest level.Nafikiri Ulimengu amerudia barua hiyo ili mheshimiwa aweze kupima mwenyewe kama ametimiza yale aliyoambiwa mwaka 2005.
Barua zanamna hii zinahitaji kuandikwa kwa watu wenye uwezo wakutafsiri fasihi simlizi vizuri vinginevyo sina uhakika aliye andikiwa barua hii na rafiki yake kama anamuda wa kuisoma na kuchukua maudhui yake nakuyaweka katika picha halisi.pia siamini kama ulimwengu analengo lakuleta mabadiriko yoyote katika taifa hili kupitia barua yake, kwa mfano ameomba msamahaa hata kabla aliyeandikiwa barua hajaisoma kana kwamba akimwudhi,je Ulimwengu unategemea usimwudhi?je hayo uliyo yaandika unategemea yawe na mtazamo chanya kwa huyo rafiki yako?lengo lako ni lipi? kukosoa, kushauri,kutoa mwelekeo au kueleza hali halisi iliyopo? kama lengo lako ni miongoni mwa hayo maswali una ombaje msamahaa?.
Pia unasema kama mheshimiwa rafiki yako atupilie mbali walaka wako kama ataona unamchosha kwa vile nimrefu.Hapo mantiki ya kuandiaka walaka wako ni nini? kama una mwandikia mtu walaka halafu hujari kama atasoma hivi lengo lako linakuwa ni lipi? hapa naona unatimiza wajibu wa nafsi yako lakini sidhani kama una nia dhabiti kama inavyo tafsiriwa nawengi
@kereng'ende
Mkuu nafikiri hujaelewa mantiki ya Ulimwengu kurudiaile barua aliyomwandikia JK mwaka 2006 mara tu ya Jk kula kiapo cha kuiongoza Tanzania.
Ukiielewa kwa makini utagundua kwa nini Ulimwengu ameamua kuichapisha tena barua hiyo kwenye toleo la Raia Mwema la wiki iliyopita.
Jaribu kufuatilia makala ama hata mijadala ya Jenerali Ulimwengu na utagundua ni mtu wa calibre gani!!
Yote hayo ni katika kutafsiri barua ya Jenerali, na sikufichi, barua hiyo ukikaa chini na kuamua kuiandika upya kwa tafakuri ya kina neno kwa neno unaweza kutoa kitabu kizima cha kurasa zisizopungua mia na ushei.Mwanamageuko
Kunapointi hapo