Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
unakua na amani hata unapokua mizungukoni..Ukipata Dada Wa kazi anayejielewa unakuwa na amani aisee...Sio huyu wangu muda Wa kazi anautumia kuandaa mikeka tu..
Ukikaa nao kwa upendo. Nae huzidisha upendo kwako. Mara mbili yake. Hongera kwa mapenzi yako kwa dada wa nyumbaniKwangu mm dada wa kazi ni zaidi ya ndg, kwa jinsi anavyonilelea mtoto wangu basi tu ni Mungu ndie ajuaye. Nampenda ht kuzidi ndg zangu, kuna kipindi niliugua sikuwa naweza kutembea km miezi minne na siku nakutwa na huo mkasa ndani kulikuwa na laki mbili. Alitunza hela hd nilipojitambua ndio akanipa hesabu ya matumizi nayo alitumia km elfu 50 tu kwa mahitaji ya mtoto.
Mama na yy tu ndio waliobaki kuniuguza hd nikapona nikaanza kutembea km kawaida, mtoto wangu alikuwa km wake maana sikuwa ht na uwezo wa kujitambua.
Nikikumbuka hayo, nazidi kumpenda na kumtakia kila jema ktk maisha yake. Huyu kwangu ni zaidi ya ndg.
mmeumbwa matesoMm nikionaga hiyo avatar yako akili inaswingswing..Wanaume tuna kazi hakiyanani
Ikawaje akasepa..Au alipata mume..Mi huyu wangu ni chenga balaa..unakua na amani hata unapokua mizungukoni..
m
kuna Dada wa kazi tulikua has jamani she was the best...
Na tunateseka si kitotommeumbwa mateso
Ukipata Dada Wa kazi anayejielewa unakuwa na amani aisee...Sio huyu wangu muda Wa kazi anautumia kuandaa mikeka tu..
Acha viroba wewendio maana mi wangu huwa namgegeda kulipa fadhila kwa wema anaonifanyia
Asante sanaUkikaa nao kwa upendo. Nae huzidisha upendo kwako. Mara mbili yake. Hongera kwa mapenzi yako kwa dada wa nyumbani
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha....ndio maana mi wangu huwa namgegeda kulipa fadhila kwa wema anaonifanyia
Bora uniajiri mie sitakuangushaUkipata Dada Wa kazi anayejielewa unakuwa na amani aisee...Sio huyu wangu muda Wa kazi anautumia kuandaa mikeka tu..
Huyo ni wife material mkuu... Kama hujaoa usimwachie lolKwangu mm dada wa kazi ni zaidi ya ndg, kwa jinsi anavyonilelea mtoto wangu basi tu ni Mungu ndie ajuaye. Nampenda ht kuzidi ndg zangu, kuna kipindi niliugua sikuwa naweza kutembea km miezi minne na siku nakutwa na huo mkasa ndani kulikuwa na laki mbili. Alitunza hela hd nilipojitambua ndio akanipa hesabu ya matumizi nayo alitumia km elfu 50 tu kwa mahitaji ya mtoto.
Mama na yy tu ndio waliobaki kuniuguza hd nikapona nikaanza kutembea km kawaida, mtoto wangu alikuwa km wake maana sikuwa ht na uwezo wa kujitambua.
Nikikumbuka hayo, nazidi kumpenda na kumtakia kila jema ktk maisha yake. Huyu kwangu ni zaidi ya ndg.
Hiyo mzuri kweli maana ni mjasiriamali.Ukipata Dada Wa kazi anayejielewa unakuwa na amani aisee...Sio huyu wangu muda Wa kazi anautumia kuandaa mikeka tu..
Hivi nawe tukigegeda wanao utajisikiaje? Tena tunawagegeda kibabe mixer kichuri tunakula?ndio maana mi wangu huwa namgegeda kulipa fadhila kwa wema anaonifanyia
Teh..We unafaa kwa matumizi mengine bana..Sio hayoBora uniajiri mie sitakuangusha
Hahaha mm ni mdada.Huyo ni wife material mkuu... Kama hujaoa usimwachie lol
Ha haa jirani banaTeh..We unafaa kwa matumizi mengine bana..Sio hayo
Mweeh sorry oohHahaha mm ni mdada.