Kwa hili inatupasa tuwaheshimu wadada wakazi majumbani kwetu.

Kwangu mm dada wa kazi ni zaidi ya ndg, kwa jinsi anavyonilelea mtoto wangu basi tu ni Mungu ndie ajuaye. Nampenda ht kuzidi ndg zangu, kuna kipindi niliugua sikuwa naweza kutembea km miezi minne na siku nakutwa na huo mkasa ndani kulikuwa na laki mbili. Alitunza hela hd nilipojitambua ndio akanipa hesabu ya matumizi nayo alitumia km elfu 50 tu kwa mahitaji ya mtoto.

Mama na yy tu ndio waliobaki kuniuguza hd nikapona nikaanza kutembea km kawaida, mtoto wangu alikuwa km wake maana sikuwa ht na uwezo wa kujitambua.
Nikikumbuka hayo, nazidi kumpenda na kumtakia kila jema ktk maisha yake. Huyu kwangu ni zaidi ya ndg.
Ukikaa nao kwa upendo. Nae huzidisha upendo kwako. Mara mbili yake. Hongera kwa mapenzi yako kwa dada wa nyumbani
 
Wadada wakaz n wakuwaheshim sana

Dada wakaz akiwa mbaya kwa
Watt n sabab ww mwnyw
Unamtesa kila ukirud
Huish kumpigia kelele
 
Huyo dada mstaarabu pia nikupongeze kaka una ustaarabu. Wengine wakikaa sebleni wanawaza ntaanzaje kumtongoza beki3... akili zao kama beki3 tuu
 
Mtu mweusi anafunga milango yote akiondoka kwa kuogopa asiibiwe na mfanyakazi wa ndani tena unaweza kukuta mfanyakazi anampiga na kumnyanyasa lakini amesahau ya kuwa huyo mfanyakazi pamoja na kufunga milango yote unamwachia mtoto wako so jiulize thamani ya mwanao ni zaidi ya kile unachokifungia chumani? au unamtesa mdada wa kazi lakini umesahau ya kuwa yeye ndo anawapikia chakula mnachokula nyinyi na familia yako je akiweka vitu anavyovijua yeye itakuwaje?

Wenzetu weupe wanamheshimu sana mtu anayekaa na watoto wake ,anayempikia chakula na yule anayemlinda nje wakt yeye yumo ndani amelala
 
Kwangu mm dada wa kazi ni zaidi ya ndg, kwa jinsi anavyonilelea mtoto wangu basi tu ni Mungu ndie ajuaye. Nampenda ht kuzidi ndg zangu, kuna kipindi niliugua sikuwa naweza kutembea km miezi minne na siku nakutwa na huo mkasa ndani kulikuwa na laki mbili. Alitunza hela hd nilipojitambua ndio akanipa hesabu ya matumizi nayo alitumia km elfu 50 tu kwa mahitaji ya mtoto.

Mama na yy tu ndio waliobaki kuniuguza hd nikapona nikaanza kutembea km kawaida, mtoto wangu alikuwa km wake maana sikuwa ht na uwezo wa kujitambua.
Nikikumbuka hayo, nazidi kumpenda na kumtakia kila jema ktk maisha yake. Huyu kwangu ni zaidi ya ndg.
Huyo ni wife material mkuu... Kama hujaoa usimwachie lol
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom