Wana JF
Mimi ni mmoja wa watu wanao amini kuwa CHADEMA ni chama makini hata zaidi ya chama chochote kwa sasa hapa Tanzania. Lakini kwa hili mlilolifanya la kutaja list nyingine hapa mmeingia mkenge bila kujua. Siimanishi kuwa mliowataja sio mafisadi ila mmekwenda kwa hisia zaidi bila kuafanya timing haukuwa wakati muafaka kwa kuwa sasa mnaonekana kuwa baada ya kuiona CCM inajisafisha mnatafuta kitu cha kuwachafua ili waendelee kugombana. Hili watu wanaweza kulichukulia kuwa hata waliotumuliwa na ccm si mafisadi kweli kweli bali ni mambo ya kisiasa kitu ambacho si cha kweli. Na hoja ya ufisadi mlioianzisha ambao umeifikisha nchi yetu hapa ilipo ikaonekana ni mambo ya kisiasa haina uhalisia.
Halafu ni washauri kitu kingine kuwa CCM inapofanya jambo jema kama walivyofanya ya kutimua mafisadi si mbaya makawapongeza kama kweli lengo ni kuwatetea watanzania pia mnaweza kuengeza kuchambua mapungufu ya yale mazuri ccm waliofanya kwa mfano haiwezekani mtu akawafisadi na kufukuzwa na chama alafu akawa mzuri kwenye nafasi ya ubunge. Lakini kukimbilia kuongeza list tena ya watu ambao jamii hasa sisi tuliohuku vijiweni (site) tumeshawaamini kuwa ni wasafi japokuwa wanaweza wasiwe wasafi mmeingia choo cha kike kama msemo wa watoto wa mjini wanavyosema.
Kwa hili mimi CCM nawapongeza lakini bado wananuka sana kiasi ambacho siwazi kwa sasa kuwapa kura yangu. Lakini something is better than nothing.
Mimi ni mmoja wa watu wanao amini kuwa CHADEMA ni chama makini hata zaidi ya chama chochote kwa sasa hapa Tanzania. Lakini kwa hili mlilolifanya la kutaja list nyingine hapa mmeingia mkenge bila kujua. Siimanishi kuwa mliowataja sio mafisadi ila mmekwenda kwa hisia zaidi bila kuafanya timing haukuwa wakati muafaka kwa kuwa sasa mnaonekana kuwa baada ya kuiona CCM inajisafisha mnatafuta kitu cha kuwachafua ili waendelee kugombana. Hili watu wanaweza kulichukulia kuwa hata waliotumuliwa na ccm si mafisadi kweli kweli bali ni mambo ya kisiasa kitu ambacho si cha kweli. Na hoja ya ufisadi mlioianzisha ambao umeifikisha nchi yetu hapa ilipo ikaonekana ni mambo ya kisiasa haina uhalisia.
Halafu ni washauri kitu kingine kuwa CCM inapofanya jambo jema kama walivyofanya ya kutimua mafisadi si mbaya makawapongeza kama kweli lengo ni kuwatetea watanzania pia mnaweza kuengeza kuchambua mapungufu ya yale mazuri ccm waliofanya kwa mfano haiwezekani mtu akawafisadi na kufukuzwa na chama alafu akawa mzuri kwenye nafasi ya ubunge. Lakini kukimbilia kuongeza list tena ya watu ambao jamii hasa sisi tuliohuku vijiweni (site) tumeshawaamini kuwa ni wasafi japokuwa wanaweza wasiwe wasafi mmeingia choo cha kike kama msemo wa watoto wa mjini wanavyosema.
Kwa hili mimi CCM nawapongeza lakini bado wananuka sana kiasi ambacho siwazi kwa sasa kuwapa kura yangu. Lakini something is better than nothing.