MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
Kwa nilichokiona jana kwenye kampeni za mwisho mwisho za uchaguzi Kinondoni inabidi Mtulia aanze kuangalia mambo mengine ya muhimu kama kutafuta suti ya kuapishwa na vitu vingine awaachie wana Kinondoni wamalize kwenye masunduku ya kura.
Pia nitumie uzi huu huu kumpongeza Dk Freeman Mbowe kwa intelijensia yake ya hali ya juu.
Mbowe alipopata taarifa za uhakika kuwa Kinondoni hawana chao ilibidi achukue kundi la watu 200 kwenda kutaka kuonana na mkurugenzi NEC,watu 200 wanatakana kuonana na mtu mmoja,who does that?
Mbowe anawaanda kisaikolojia vijana kwamba wameibiwa kura.
Kila la kheri uchaguzi mdogo Kinondoni na Siha.
Pia nitumie uzi huu huu kumpongeza Dk Freeman Mbowe kwa intelijensia yake ya hali ya juu.
Mbowe alipopata taarifa za uhakika kuwa Kinondoni hawana chao ilibidi achukue kundi la watu 200 kwenda kutaka kuonana na mkurugenzi NEC,watu 200 wanatakana kuonana na mtu mmoja,who does that?
Mbowe anawaanda kisaikolojia vijana kwamba wameibiwa kura.
Kila la kheri uchaguzi mdogo Kinondoni na Siha.