Chirozo
Senior Member
- Dec 20, 2017
- 145
- 226
Binafsi Sinaga Chama Chochote hapa Tanzania, Ila nawashauri wana CHADEMA na vyama vyengine Wavunje hii inayoitwa mfumo wa vyama vingi maana akuna jipya, kila siku Vurugu, kuuwana, kutekwa na visa chunguzima vya kusikitisha , Ukiuliza CCM aitaki kukoselewa na kuweka Demokrasia ya usawa na haki..