Huku kino imepita tuHii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.
😂kingekuwa kiama hata nguvu ya kupost humu ungekuwa nayo.!?lolWatenda dhambi tuna mashaka. Labda ndio kihama.
Lile daraja la mita 300 jangwani halijakamilika?Asubuhi jangwani patapitika kweli?
Hahahahhahahaaha....jamani sihami tz mieIlitakiwa inyeshe kama ya kipindi kile cha nuhu, hata siku 2 mfululizo hivi non stop...kwani kuna ubaya..!?
kwamba kiama kimeingia ubungoMan, mzigo unaopiga hapa Ubungo, nishawaforwadia meseji mafundi selemala kadhaa kuwauliza kama kuna mtu amekuja kuulizia taarifa za ujenzi wa safina.
Kwamba tunda huliwa kimasihara mvua inaponyesha tu ???Mpaka muda huu hakuna mtu aliyekula tunda kimasihara?????
Wenyeji wa mabondeni wanasema, "Huku kwetu mvua inaweza nyesha hata siku 10 mfululizo bila kuleta mafuriko ila ikinyesha Kimara, Mbezi na maeneo mengine ya huko milimani kwa masaa mawili tu, siku hiyo lazima waisome namba."Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.
Njooni mikoani huku hakuna ishu hizo za mafuriko.Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.
Uko wapi?Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.