Kwa hii hela nitapata simu gani nzuri?

Kwa hii hela nitapata simu gani nzuri?

Huyo dogo ana omiaka mingapi? Na yupo level gani ya life.. other wise a good act could be bad act.
Back to topic.. cmu yoyote poa but Techno!

Ana miaka 17... mwakani anaingia chuo.
 
nnao wawili hawajawahi kunipa hata kiberiti ila nafua napika nawatandikia mpaka vitanda

Post sent using JamiiForums mobile app
it is not fair jamani,mimi dada zangu nawapenda sana hadi huwa nawapikia na kuwafulia

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Saivi anatumia sim yoyote? Kama ndio mnunulie kama sio inabidi uangalie mara mbili

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna infix not 3 kama upo teyali nicheck Kwa 0769825792

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu wakuu?

Mdogo wangu wa kike ananisumbua anataka nimnunulie smart phone.
Nimemuahidi nitamnunulia, ila naomba mnishauri ni smart phone gani nzuri nzuri naweza nikamnunulia dogo kwa Tsh 250,000.?
Boom J8

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa anaehitaji simu nina techno common cx mpya full boxe na vifaa vyake bei ni 300k,,, mwenye nia anifuate pm
 
Back
Top Bottom