Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Poleni na majukumu,
Leo naomba niwakumbushe Wana JamiiForums wenzangu kupitia Uzi huu.
Naomba niwakumbushe juu ya kuzidisha upendo juu ya mama zetu najua mnafahamu Kuna,nyimbo wasanii mbalimbali wamewaimbia mama zetu, siku zipo za kina mama kusherehekea umuhimu wao...Yani mother's day...nawakumbusha kwa sababu binadamu tumeumbiwa kusahau..
Nimetoka kumpoteza mama yangu mwezi uliopita...hii kitu maumivu yake ni makubwa Sana ...licha ya kumpenda Sana Ila Bado naona sikuweza kufanikiwa kufanya kitu kikubwa katika maisha yake ....licha ya kumsapoti Sana Bado najiona Kuna sehemu niliacha kwa sababu nilikuwa naamini Kuna siku ningetoboa nikamchukua nakuishi nae kwenye nyumba ya kifahari lakini kwa mapenzi ya mungu sikufanikiwa kabisa..
Sasa licha ya bi mkubwa kutokuwa na uwezo wa kiuchumi Ila alinipenda Sana ..na gap lake nilianza kuliona siku ileile alipotangulia.
Point yangu Nini hapa ni kwamba vijana wengi tunajitafuta tunaamini msaada ni pale tunapotoa kitu kikubwa tu pesa nyingi au zawadi za magari kitu ambacho Sio sahihi kumbe hata kupiga simu tu inamaana kubwa Sana. Mimi sikuwa mpenzi wa kupiga simu Ila nilipopokea simu yake bhasi kwa mara moja nilisolve matatizo yake ...hapo nashukuru mpka anaondoka hakuwa na tatizo na Mimi.
Kupitia Uzi huu naomba ambao mama zetu tunao tuwapende Sana. Yaani unavompenda saivi zidisha na ambao hatunao tuzidi kuwaombea wapumzike salama.
Ombi langu la mwisho kwa WanajamiiForums wenzangu naomba baada ya kusoma Uzi huu mpigie simu mama yako umsalimie tu, kupitia hio nafasi na Mimi huku nitakuwa nimemuenzi na Imani na yeye anafurahi.
Leo naomba niwakumbushe Wana JamiiForums wenzangu kupitia Uzi huu.
Naomba niwakumbushe juu ya kuzidisha upendo juu ya mama zetu najua mnafahamu Kuna,nyimbo wasanii mbalimbali wamewaimbia mama zetu, siku zipo za kina mama kusherehekea umuhimu wao...Yani mother's day...nawakumbusha kwa sababu binadamu tumeumbiwa kusahau..
Nimetoka kumpoteza mama yangu mwezi uliopita...hii kitu maumivu yake ni makubwa Sana ...licha ya kumpenda Sana Ila Bado naona sikuweza kufanikiwa kufanya kitu kikubwa katika maisha yake ....licha ya kumsapoti Sana Bado najiona Kuna sehemu niliacha kwa sababu nilikuwa naamini Kuna siku ningetoboa nikamchukua nakuishi nae kwenye nyumba ya kifahari lakini kwa mapenzi ya mungu sikufanikiwa kabisa..
Sasa licha ya bi mkubwa kutokuwa na uwezo wa kiuchumi Ila alinipenda Sana ..na gap lake nilianza kuliona siku ileile alipotangulia.
Point yangu Nini hapa ni kwamba vijana wengi tunajitafuta tunaamini msaada ni pale tunapotoa kitu kikubwa tu pesa nyingi au zawadi za magari kitu ambacho Sio sahihi kumbe hata kupiga simu tu inamaana kubwa Sana. Mimi sikuwa mpenzi wa kupiga simu Ila nilipopokea simu yake bhasi kwa mara moja nilisolve matatizo yake ...hapo nashukuru mpka anaondoka hakuwa na tatizo na Mimi.
Kupitia Uzi huu naomba ambao mama zetu tunao tuwapende Sana. Yaani unavompenda saivi zidisha na ambao hatunao tuzidi kuwaombea wapumzike salama.
Ombi langu la mwisho kwa WanajamiiForums wenzangu naomba baada ya kusoma Uzi huu mpigie simu mama yako umsalimie tu, kupitia hio nafasi na Mimi huku nitakuwa nimemuenzi na Imani na yeye anafurahi.