Kwa heri voda,tusijuane

Kwa heri voda,tusijuane

Kwanza kabisa ndugu mdau hii net
lazima uwe na modem ya
####COM hivyo basi kama unayo
tuanze somo letu fasta fasta na kama
una kalamu waeza note vitu flani
ambavyo unahisi utavisahau
ukikwama we nistue tu namba yangu
ni 0688148836
tuanzae sasa
nenda kwa google andika
neno PDPROXY.COM yaani kama hivi
kwenye picha apo chini
baada ya hapo basi wewe mdogo
mdogo click hilo neno then
litakuletea page kama hii hapa chini
baada ya kua umeclick hilo neno bas
utaona page hii hapa chini we
download tu hiyo software ambayo
ina kama mb 1 tu
ukisah download hiyo software bas
itakua zipped kwa wale ambao
hamjui software kuwa zipped yaani
inakua imekua compresed so
unahitaji software ku iunzip so wewe
iunzip then utacheki kifolder kama
hiki
bas wewe hicho kifolde ukikibonyeza
ukaingia ndani utaona mafile mengi
we yachunie hayo nenda mpaka
kwenye kijineno kimendikwa
pdproxy kibonyeze yaani kama hivi
yaani
then ukishakibonyeza tu utacheki
kisoftware hiki kinatokea bas wewe
utatakiwa kua na pasword yako na
username ili uweze kudownload.ila
nitakupa username na pasrd ambayo
utailipia 10000 tu kwa mwezi then
wewe ni kudownload tu mpaka
bas .kiprogram chenyewe hiki apa
chini
haya kama ukikwama we nicheki tu
namba yangu ni 0688148836
na user name yangu facebook ni
sadru mohamed

Hivi hiyo ni wenye pc tuu au hata simu???
 
Acheni majungu!voda mbona iko pouwa tu.mmetumwa nn kuharibu biashara za watu?acheni majungu,kama hupendi kitu,usicönvice nawengine wakichukie,bora ujikate mwenyewe kimyakimya,kama umepata hasara hiyo nijuu yako na shida zako mwenyewe.VODACOM,IPO JUU.nakupenda voda na nitaendelea kukuenzi coz umenirahisishia maisha.BIG UP!
 
Kuweni Wazalendo, tumieni vya Kitanzania, karibuni TTCL!
TTCL yenyewe ni ya mijini tu! ukitoka nje km mbili tu kimeo!
Niliingia mkenge nikanunua moja ya handsets zao; nilipohamia vijijini ilibakia mdoli wa kuchezea watoto.
Miaka kibao wameshindwa kuimprove hata chembe; Tanzanians, are we really serious?
 
voda imeshakuwa ya mafisadi.inakata fedha za wateja itakavyo.bila ya kuulizwa na mtu, lakin kumbukeni kila kitu kina mwisho
 
Angalia vizuri salio maana vifurushi unaangalia salio kwa kupiga *147#.
Ila ukweli ni kuwa siufagilii kbs mtandao wa voda.
Bei zao zipo juu sana kuanzia bundle za internet hadi mpesa.
Ni kampuni nyonyaji sana

Umeona gharama za intaneti ya Airtel?
 
Labda ni kampuni kongwe kwahiyo imesha zeeka tanzania haina nguvu ya ufanisi tena.unaijua tritel miaka ya1995/6 wafanye kama walivyofanya tritel.
kampuni kongwe ni mobitel a.k.a tigo

voda na airetl hawa ni wa 2000s
 
huyu MEZA sijui nini anabana matumiz ya kampuni hadi mafuta ya kwenye minara ya network....:target:
 
DAh...NILIJUA PEKEYANGU KUMBE NAWENGINE YANWAKUTA? MI NADHANI WAMEAJILI WEZI NOWDAYS. JIREKEBISHENI,COZ LAITI KAMA NISINGEKUA NIMETUMIA NO YA VODA KWENYE DOC ZANGU NYINGI NINGEWAFUTILIA MBALI,BUT HATA HIVYO NAENDELEA KUWEKA MAZINGILA SAWA SINA MWAKA LAINI YANGU YA TIGO NDO ITAKUA KILA KITU COZ SINA KERO NAO,NA MITANDAO MINGINE SIJAWAHI KUTUMIA NIKIJIFANYA MWAMINIFU KWA VODA.WANAVIITA VIFURUSHI VYA CHEKA, JIUNGE UONI KAMA SIO UZUSHI,SALIO LAKO KWISHNEI NDANI YA SEKUNDE KADHAA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom