Kwa heri voda,tusijuane

Kwa heri voda,tusijuane

Voda wanajiskia sana, kisa wana wateaja wengine.....shame on you voda....hamjitambui eti ehe?

Wajifunze kwa wenza TTCL kilichowakumba enzi hizo wakiwa hot na walipo sasa
 
Bosi mpya aliyeleta red-logo kampuni haiwezi!!!
 
Nilikua mteja mwaminifu wa voda zaidi ya miaka 9, hata ndugu nilionao kwenye phonebook yangu %95 ni voda.

walichoniuzi ni bombastik yao....Yaani sielewi MB zinaishaje wala dakika zinapoteaje, ghafla nashangaa kifurushi kimeisha. Mbaya zaidi ilifika wakati nikitaka kuuliza salio la kifurushi hawanirudishii majibu.

Sasa hivi nipo Airtel yatosha, hata nikitumia sekunde 2 wananiambia umetumia sekunde mbili umebakiwa na sekunde kadhaa.

Airtel Babalao sibishi.!!!!
 
yan hu mtandao nilikua naona wa mana nshauona wakishenz na netwk zao
 
mimi voda naitumia kama landline kupokea tu, airtel kweli yatosha , napiga mpaka nagawia majirani
 
Ukweli voda kimeo, makato sasa M Pesa , ukijisaau kuunda buko dak 4,mwenyewe nawaza kuhama
 
Aiseee na mimi hapa nina hasira Ghrrrrrh!!!@##? nimenunua kifurushi cha wiki cha Tsh 3,500/- nimepiga simu moja tena ya VODA haizidi hata dakika mbili WAMELAMBA HELA ZOTEEE! Ukipiga simu Customer Service Dorooorooooorrrr! Agrrrrrrh[/QUOTE


Kiongozi angalia ama muulize huyo uliyempigia na ukakatwa, kama namba yake amei-divert hapo cheka haitumiki, unakatwa salio lako la kawaida kumpigia.
 
Labda ni kampuni kongwe kwahiyo imesha zeeka tanzania haina nguvu ya ufanisi tena.unaijua tritel miaka ya1995/6 wafanye kama walivyofanya tritel.
 
Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.

The Economic survey 2012 inaonesha subscribers wa Voda wamepungua.
 
Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.

Sikiliza kawimbo haka:

"ukiwa jukwaani usiniguse mgongonii eee,
tuma pesa bila makato kwa Sheriiii eee,
Kiitikio: Hakatwi mtu hapa, uliza wakala dukani"
 
Nilishaacha kutumia voda kitamboo. Na ile siku ilivyozama mv spice ndio walizidi kuniongezea chuki. Nashangaa nikiona mtu anatumia voda hata phonebook yangu sisave no ya mtu anayetumia voda.
Kazi ni kwao.

Nifumbue macho mkuu walifanya nn siku meli imezama?
 
da zamani ilikuwa tigo ndo wenye majanga lakini naona sasa hivi wako poa poa kidogo
 
Jamani mimi huwa natembea haya majiji makubwa ya tz. huwa na laini yangu ya voda kwenye kidubwasha changu. Mtandao wa voda uko poa tu, napata neti tena ya fasta. Najiunga kwa shs 15,000 kwa mwezi kwa kupiga *147*15000#. No complaints frm me. Nina rafiki angu yeye na yeye anaisifia network ya Airtel. Labda jaribu iyo lkn kwa voda mimi naona poa labda yategemea unakuwa wapi
 
Kwanza kabisa ndugu mdau hii net
lazima uwe na modem ya
####COM hivyo basi kama unayo
tuanze somo letu fasta fasta na kama
una kalamu waeza note vitu flani
ambavyo unahisi utavisahau
ukikwama we nistue tu namba yangu
ni 0688148836
tuanzae sasa
nenda kwa google andika
neno PDPROXY.COM yaani kama hivi
kwenye picha apo chini
baada ya hapo basi wewe mdogo
mdogo click hilo neno then
litakuletea page kama hii hapa chini
baada ya kua umeclick hilo neno bas
utaona page hii hapa chini we
download tu hiyo software ambayo
ina kama mb 1 tu
ukisah download hiyo software bas
itakua zipped kwa wale ambao
hamjui software kuwa zipped yaani
inakua imekua compresed so
unahitaji software ku iunzip so wewe
iunzip then utacheki kifolder kama
hiki
bas wewe hicho kifolde ukikibonyeza
ukaingia ndani utaona mafile mengi
we yachunie hayo nenda mpaka
kwenye kijineno kimendikwa
pdproxy kibonyeze yaani kama hivi
yaani
then ukishakibonyeza tu utacheki
kisoftware hiki kinatokea bas wewe
utatakiwa kua na pasword yako na
username ili uweze kudownload.ila
nitakupa username na pasrd ambayo
utailipia 10000 tu kwa mwezi then
wewe ni kudownload tu mpaka
bas .kiprogram chenyewe hiki apa
chini
haya kama ukikwama we nicheki tu
namba yangu ni 0688148836
na user name yangu facebook ni
sadru mohamed
 
Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.
Yawezekana sehemu ulipo au aina ya smu yako inabagua mitandao.
 
TTCL akijipanga this time anaweza akateka soko chamuhimu aache ukoloni wake kama ccm! hii mitandao ya wahindi na makaburu saivi imesha tuchosha kwa wizi wa mchana mchana!
Kiukweli saivi zaidi ya airtel mitandao mingine yote ujinga mtupu na huduma kwa mteja hakuna kitu hata ukilipia ni uozo tupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom