Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.
Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.
pole sana mkuu.......kwani upo wapi.....mbona net ipo poa tu......?
Angalia vizuri salio maana vifurushi unaangalia salio kwa kupiga *147#.Aiseee na mimi hapa nina hasira Ghrrrrrh!!!@##? nimenunua kifurushi cha wiki cha Tsh 3,500/- nimepiga simu moja tena ya VODA haizidi hata dakika mbili WAMELAMBA HELA ZOTEEE! Ukipiga simu Customer Service Dorooorooooorrrr! Agrrrrrrh
Yaani hasara mlionisababishia kwa network yenu kugoma wiki2 sasa sitasahau,leo ndio baraa kabisa,nimechanachana kalaini kenu tusijuane tena,ata kutoa taarifa shida ni nini mpo tu uko maofisini mmekodoa mimacho utazani mjusi kabanwa na mlango.
kweli voda maudhi matupu,siku zote hizi tunahangaika,si kupiga simu,M-pesa yote balaaa! Kagueni mitambo yenu bana.
Nilishaacha kutumia voda kitamboo. Na ile siku ilivyozama mv spice ndio walizidi kuniongezea chuki. Nashangaa nikiona mtu anatumia voda hata phonebook yangu sisave no ya mtu anayetumia voda.
Kazi ni kwao.
Airtel Yatosha.!