Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Gwajima ametoa dukuduku ametoa maungamo na katoa maisha ya kiroho ya muumini wake! ni kawaida kwa waumini kuwaamini sana wachungaji wao na hata kuwakaribisha mpaka chumnani wakiamini wanatibu roho zao. Gwajima kasaidia kumjua Dr Slaa na matatizo yake ya ndoa na jinsi mwanamke alivyo weza kutawala kichwa cha shujaa.
Kwa heri Dr Slaa umefanya kazi kubwa ya kujenga chama chetu tunakushukuru sana na tunakutakia maisha mema. Mwaka huu mission ya Watanzania ni kuitoa CCM , tunasikitika sana kukukosa binafsi nitakukumbuka daima.Kwa heri Dr Slaa karibu Lowassa.
Dr Slaa amekuwa nguzo muhimu kwa umahiri na ustahimili wa CDM, amekuwa mlezi na mkuzi wa siasa za mageuzi hasa ndani ya chama. Natamani ningepewa dakika zangu tano kabla hujafika Serena ili niweze kugeuza hali.
Najua upo consistence na mambo mengi ila hili wananchi wanataka kuitoa ccm kwanza wanataka shetani huyu wa miguu tisa atoke.
Wote tunajua mgombea wetu alivyo ila kwa hapa tulipo hatuna jinsi tena ni ama yeye au zimwi lituuwe.
Saul alitumiwa na Mungu kuwaokoa waumini wa Mwenyezi Mungu pamoja na kwamba alikuwa akiwauwa. Kuna wakati Mungu anatuletea mkombozi asiye sifa zote ila anaonyesha ukuu na kujizihir=sha kwetu.
Nawe Gwajima umekosa sifa za uaskofu na uomgozi wa kiroho vua joho njoo kwenye siasa umekosa busara huwezi kufanya roho za watu kuwa udalali. Muumini wako alitegemea ungekuwa na kifua cha msitiri ila umeshindwa tatizo sio Dr Slaa ni kila muumini aliyekufunulia maisha yake je iko siku akikuudhi utamwanika hadharani, ndio maana nimeelewa madhebu mengi hayaruhusu makasisi wao kuwa wana siasa. Inatusha kuchanganya haya mawili.
leo tunajua Dr alikuomba chumvi, leo tunajua Mshumbushi huwa anampiga Dr hii ni mbaya sana.
Kwa heri Dr Slaa karibu Lowassa.
Pamoja na yote yaliyotokea nitaendelea kutegemea baada ya october siku moja Dr Slaa atarudi kufanya kazi na sisi atarudi Chadema na kuwa mwenyeiti atakuwa mbele na kuishi nasi.
Inawezekana vizuri, leo Mbatia na Marando ni washikaji, Chadema na Lowassa ni washirika, Chadema na CUF ni chama kimoja, Lowasa na Sumayi wapo gari moja jukwaa moja.
Hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa, wala rafiki wa kudumu ni wakati tu.
Nenda Dr pumzika imetosha kushambulia wote wekeni silaha chini tumtoe nduli CCM. Tumewasikia wote ila malumbano haya hayatusadii kwa sasa hatuwezi badili mgombea na hatuwezi rudisha ccm october GEAR imebadilika angani na nyingine ardhini - sisi wa angani tunatua magogoni hakuna jinsi.
Pole Dr Slaa na pole wote mlioathirika na tetemeko. Twendeni ikulu kwa pamoja twendeni ikulu haraka.
Dr SLaa naoma itoshe baba naomba utulie tunakupenda sana na tunakuthamini mno ni pengo kubwa sana CDM kukosa hasa wakati huu.
Tumesikia yote tutayafanyia kazi.
Gwajima tulia imetosha hatutaki tena habari za chumbani imetosha. Sasa tweneni kwa wananchi tupige kazi .
Kura zaidi, ushindi mkubwa - Mabadiliko yanakuja byee byee CCM Byeee Byeee mafisadi.
Cahdema tuna toa toba ya kweli njoo utubu njoo utakaswe.
Kura yako october 25 ni CDM ni Ukawa
Kwa heri Dr Slaa umefanya kazi kubwa ya kujenga chama chetu tunakushukuru sana na tunakutakia maisha mema. Mwaka huu mission ya Watanzania ni kuitoa CCM , tunasikitika sana kukukosa binafsi nitakukumbuka daima.Kwa heri Dr Slaa karibu Lowassa.
Dr Slaa amekuwa nguzo muhimu kwa umahiri na ustahimili wa CDM, amekuwa mlezi na mkuzi wa siasa za mageuzi hasa ndani ya chama. Natamani ningepewa dakika zangu tano kabla hujafika Serena ili niweze kugeuza hali.
Najua upo consistence na mambo mengi ila hili wananchi wanataka kuitoa ccm kwanza wanataka shetani huyu wa miguu tisa atoke.
Wote tunajua mgombea wetu alivyo ila kwa hapa tulipo hatuna jinsi tena ni ama yeye au zimwi lituuwe.
Saul alitumiwa na Mungu kuwaokoa waumini wa Mwenyezi Mungu pamoja na kwamba alikuwa akiwauwa. Kuna wakati Mungu anatuletea mkombozi asiye sifa zote ila anaonyesha ukuu na kujizihir=sha kwetu.
Nawe Gwajima umekosa sifa za uaskofu na uomgozi wa kiroho vua joho njoo kwenye siasa umekosa busara huwezi kufanya roho za watu kuwa udalali. Muumini wako alitegemea ungekuwa na kifua cha msitiri ila umeshindwa tatizo sio Dr Slaa ni kila muumini aliyekufunulia maisha yake je iko siku akikuudhi utamwanika hadharani, ndio maana nimeelewa madhebu mengi hayaruhusu makasisi wao kuwa wana siasa. Inatusha kuchanganya haya mawili.
leo tunajua Dr alikuomba chumvi, leo tunajua Mshumbushi huwa anampiga Dr hii ni mbaya sana.
Kwa heri Dr Slaa karibu Lowassa.
Pamoja na yote yaliyotokea nitaendelea kutegemea baada ya october siku moja Dr Slaa atarudi kufanya kazi na sisi atarudi Chadema na kuwa mwenyeiti atakuwa mbele na kuishi nasi.
Inawezekana vizuri, leo Mbatia na Marando ni washikaji, Chadema na Lowassa ni washirika, Chadema na CUF ni chama kimoja, Lowasa na Sumayi wapo gari moja jukwaa moja.
Hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa, wala rafiki wa kudumu ni wakati tu.
Nenda Dr pumzika imetosha kushambulia wote wekeni silaha chini tumtoe nduli CCM. Tumewasikia wote ila malumbano haya hayatusadii kwa sasa hatuwezi badili mgombea na hatuwezi rudisha ccm october GEAR imebadilika angani na nyingine ardhini - sisi wa angani tunatua magogoni hakuna jinsi.
Pole Dr Slaa na pole wote mlioathirika na tetemeko. Twendeni ikulu kwa pamoja twendeni ikulu haraka.
Dr SLaa naoma itoshe baba naomba utulie tunakupenda sana na tunakuthamini mno ni pengo kubwa sana CDM kukosa hasa wakati huu.
Tumesikia yote tutayafanyia kazi.
Gwajima tulia imetosha hatutaki tena habari za chumbani imetosha. Sasa tweneni kwa wananchi tupige kazi .
Kura zaidi, ushindi mkubwa - Mabadiliko yanakuja byee byee CCM Byeee Byeee mafisadi.
Cahdema tuna toa toba ya kweli njoo utubu njoo utakaswe.
Kura yako october 25 ni CDM ni Ukawa