Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,451
Hizo ID tatu usishangae ni mtu mmoja! wanataka waonekane wengi, ni kwa sababu humu mtandaoni huwezi kukusanya mtu kwa lori!Nape,rejao,ritz machozi yanawa dondoka
Hizo ID tatu usishangae ni mtu mmoja! wanataka waonekane wengi, ni kwa sababu humu mtandaoni huwezi kukusanya mtu kwa lori!Nape,rejao,ritz machozi yanawa dondoka
Kwani watanzania wengi si mnapenda kukaa bar kuwavizia mafisadi wawadanganye na chupa mojamoja, mkirudi mmeridhikaaa. Ulitaka wafunge Misikiti uanze kuandamana na kuchoma makanisa. Ondoa Utapiamlo wako hapa
Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.
Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.
Peoplesssssssssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.
Kaka sikuwa na Camera ngoja nizitafute nitakuwekea tu.
Hizo ID tatu usishangae ni mtu mmoja! wanataka waonekane wengi, ni kwa sababu humu mtandaoni huwezi kukusanya mtu kwa lori!
Ngoma inogile, Nape alikuwa Songea kujaribu bahati yake.
Nakubaliana na wewe kuwa mwamko wa wananchi kwa sasa ni mkubwa sana katika masuala ya siasa. Hata hivyo wakati haya yanatokea ni vyema tukajifunzo kutokana na makosa yaliyopita ambapo kuna baadhi ya viongozi waliamini kuhudhuriwa kwa mikutano yao na watu wengi ni mafanikio na baadaye kuja kubainika siyo hasa baada ya kura. Ili kuwezesha mageuzi ya kweli pamoja na kuelezea madhambi ya magamba, vyama vya upizani vielimishe vijana kujiandikisha kupiga kura bila hivyo hakuna ushindi. Nasema vijana kwa kuwa naelewa fika mapinduzi ya kweli yapo kwa vijana hao ndio watakaowezesha ushindi kwa upande wowote ule. Kwa hiyo wito wangu pamoja na mambo mengine hakikisheni vijana wake kwa waume wanahamasishwa kujiandikisha kupiga kura.