Mh POLEPOLE ameshamwaga ugali na mboga kidogo anakaribia kumaliza kabisa kumwaga mboga zote.
Wananchi waliyompenda hayati JPM ni kama wanahisi kuna mchezo ulichezeshwa kulingana na taarifa ya Mh POLEPOLE, Wananchi hawa wanaweza kuwa na chuki moyoni isiyoisha.
La pili ni kwamba wapinzani wa nchi hii nao wamejaa chuki dhidi ya serikali inayomaliza muda wake au kuendelea na muda wake, kwa sababu mbali mbali ikiwemo mwenyekiti wa CHADEMA kuwepo rumande.
La tatu ni kwamba wakuu wa dini hasa TEC( kama wanaweza kuwapatia ukumbi waumini wa gwajima aliyofungia kanisa lao ) , walokole kama kina GWAJIMA , hawana amani moyoni kiasi cha kuipenda serikali inayomaliza muda wake na pengine kuendelea hapo baadae.
Hapo baadae Novemba 2025, kwa mpalanganyiko huu uliopo nchi itatawalika kweli? nafikiri tuahirishe uchaguzi japo siyo vyepesi au tuvae sura ya mbuzi tuendelee tumpuuze POLEPOLE ,Lakini imani yoyote huja kwa kusia neno liwe zuri au baya. Maneno ya Polepole yamejenga imani fulani kwa wananchi hasa wenye kutumia mitandao. Baada ya Oktoba itahitajika kufanya upatanisho mkubwa kwa serikali na wananchi wake
Wananchi waliyompenda hayati JPM ni kama wanahisi kuna mchezo ulichezeshwa kulingana na taarifa ya Mh POLEPOLE, Wananchi hawa wanaweza kuwa na chuki moyoni isiyoisha.
La pili ni kwamba wapinzani wa nchi hii nao wamejaa chuki dhidi ya serikali inayomaliza muda wake au kuendelea na muda wake, kwa sababu mbali mbali ikiwemo mwenyekiti wa CHADEMA kuwepo rumande.
La tatu ni kwamba wakuu wa dini hasa TEC( kama wanaweza kuwapatia ukumbi waumini wa gwajima aliyofungia kanisa lao ) , walokole kama kina GWAJIMA , hawana amani moyoni kiasi cha kuipenda serikali inayomaliza muda wake na pengine kuendelea hapo baadae.
Hapo baadae Novemba 2025, kwa mpalanganyiko huu uliopo nchi itatawalika kweli? nafikiri tuahirishe uchaguzi japo siyo vyepesi au tuvae sura ya mbuzi tuendelee tumpuuze POLEPOLE ,Lakini imani yoyote huja kwa kusia neno liwe zuri au baya. Maneno ya Polepole yamejenga imani fulani kwa wananchi hasa wenye kutumia mitandao. Baada ya Oktoba itahitajika kufanya upatanisho mkubwa kwa serikali na wananchi wake