Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,271
- 40,087
- Pesa sina
- Demu sina
- Biashara sina
- Marafiki wa kweli sina
- Wanafiki ndio wengi
- Maadui ni wengi
- Wapiga mizinga wengi
- Siku zinavyokwenda nazidi kuzeeka
Kwa hali hii nitatoboa kweli?
ha ha ha ha mkuu thread (mada) ndio zinawafanya watu kuwa kazini na kupata mishahara mikubwa.Bila mada mtandao utakuwa dormant,no more sales and no more jobs.Kiuhalisia anayetoa mada ndio anatakiwa alipwe.maadui na wanafki wanatokea wapi wakati huna kipya? alafu usijaze sired humu za kutungatunga utzani umepata smartphon jana.
We ata ungekua na
- Pesa sina
- Demu sina
- Biashara sina
- Marafiki wa kweli sina
- Wanafiki ndio wengi
- Maadui ni wengi
- Wapiga mizinga wengi
- Siku zinavyokwenda nazidi kuzeeka
Kwa hali hii nitatoboa kweli?
Biashara huna Pesa unapataje? Pesa huna Demu unapataje?
- Biashara sina
- Pesa sina
- Demu sina
Hapa kaa mwenyewe
- Marafiki wa kweli sina
- Wanafiki ndio wengi
Maadui unapata wapi akati Pesa huna Biashara huna?
- Maadui ni wengi
I don't need to ask wanatoka wapi hapa.
- Wapiga mizinga wengi
Hii ni kwetu sote, kutoboa is inevitable ila wengine watatoboa katika hali ngumu sanaKwa hali hii nitatoboa kweli?
- Siku zinavyokwenda nazidi kuzeeka
ha ha ha ha sawa mkuuBiashara huna Pesa unapataje? Pesa huna Demu unapataje?
Hapa kaa mwenyewe
Maadui unapata wapi akati Pesa huna Biashara huna?
I don't need to ask wanatoka wapi hapa.
Hii ni kwetu sote, kutoboa is inevitable ila wengine watatoboa katika hali ngumu sana
hata kile kidogo kinachopatikana mkuusasa kama huna pesa unapigwa mizinga kivipi?
ha ha ha ha kwa nini mkuu?We ata ungekua na
-kazi
-marafiki wengi
-demu
-marafiki wa kweli
Bado usingetoboa maana una akili chache sana
Uko sahihi mkuuKila mmoja ana majira yake ya mafanikio, hata iwe saa 11 jioni za maisha, utafanikiwa.
ha ha ha ha itabidi nifanye hivyo mkuuUkishindwa yote, TOBOA HATA PUTO.
Kiuhalisia ni sehemu ya maisha mkuu
Usitegemee utajiri kukutafutaa bro.... Inakubidi uamke ukautafue
- Pesa sina
- Demu sina
- Biashara sina
- Marafiki wa kweli sina
- Wanafiki ndio wengi
- Maadui ni wengi
- Wapiga mizinga wengi
- Siku zinavyokwenda nazidi kuzeeka
Kwa hali hii nitatoboa kweli?
Hey... unawezaje kureply kwa kutenganisha vipengele?Biashara huna Pesa unapataje? Pesa huna Demu unapataje?
Hapa kaa mwenyewe
Maadui unapata wapi akati Pesa huna Biashara huna?
I don't need to ask wanatoka wapi hapa.
Hii ni kwetu sote, kutoboa is inevitable ila wengine watatoboa katika hali ngumu sana
ha ha ha sawa mkuuUsitegemee utajiri kukutafutaa bro.... Inakubidi uamke ukautafue