Ombi lako ni ombi langu, Mungu akiepushie kizazi changu na dhambi/aibu hii!
Sijui hata nitaiweka wapi sura yangu nikisikia mwanangu/kaka yangu kaolewa!
Mkuu heshima kwako hata me ndio sala yangu kila uchao, mungu anilinde na familia yangu na huu upuuzi unaotetewa na hii kitu inaitwa haki za binadamu nachukia sana
yameshatokea mkuu ndo maana unayaona. kama kuna kitu tulio wazazi ni kuomba kwa bidii kwa ajili ya watoto wetu,wazazi kuwa nakaribu na watoto wao, shule wanazopelekwa, vyuo wanavyoenda na mahali gani wanakaa wakiwa huko masomni! yani nihatari sana.
Itakuwa wajukuu kupindi hicho. Si watoto! Hata hivyo wataona sawa kabisa na watashangaa mliishije bila kuonjana KE kwa KE na ME kwa ME! Halafu wewe habari ya hapa, unabadilisha avatar mara ngapi kwa siku?
Ombi lako ni ombi langu, Mungu akiepushie kizazi changu na dhambi/aibu hii!
Sijui hata nitaiweka wapi sura yangu nikisikia mwanangu/kaka yangu kaolewa!
Itakuwa wajukuu kupindi hicho. Si watoto! Hata hivyo wataona sawa kabisa na watashangaa mliishije bila kuonjana KE kwa KE na ME kwa ME! Halafu wewe habari ya hapa, unabadilisha avatar mara ngapi kwa siku?