1. Posho za wabunge
2. Posho na mshahara na maslahi ya Rais
3. Posho na maslahi ya mawaziri
4. Maslahi ya jaji mkuu
5. Spika na naibu wake
6. Wakurugenzi
Kawaida Afrika akiingia mpya au chama kipya mfumo wote wa uongozi unabadilika. Mfano chadema ya Lissu , team Mbowe wote wanakula upepo na wameunda G55. Mkuu wa polisi, jesh, wakurugenzi i nk wote watakuwa wapya
Sasa waliopo wakubali kuondoka na kukosa haya.
Hamna atakaekubali kuondoka kirahisi rahisi.
No reform no election haitafanikiwa. Mpaka siasa iwe kazi ya kujitolea kama mjumbe wa nyumba 10 hapo kila mmoja ataondoka bila ya kura
2. Posho na mshahara na maslahi ya Rais
3. Posho na maslahi ya mawaziri
4. Maslahi ya jaji mkuu
5. Spika na naibu wake
6. Wakurugenzi
Kawaida Afrika akiingia mpya au chama kipya mfumo wote wa uongozi unabadilika. Mfano chadema ya Lissu , team Mbowe wote wanakula upepo na wameunda G55. Mkuu wa polisi, jesh, wakurugenzi i nk wote watakuwa wapya
Sasa waliopo wakubali kuondoka na kukosa haya.
Hamna atakaekubali kuondoka kirahisi rahisi.
No reform no election haitafanikiwa. Mpaka siasa iwe kazi ya kujitolea kama mjumbe wa nyumba 10 hapo kila mmoja ataondoka bila ya kura