Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ni maajabu sana mtu kukosa hela! Na ni ujinga uliokomaa!
Binadamu wana mahitaji mengi sana.Fursa ni kemkem kila mahali na kila sekunde iendayo kwa MUNGU.
1. Umeshindwa kufuga?
2. Umeshindwa kulima?
3. Umeshindwa kuwa 'broker'?
4. Umeahindwa kuuza mkaa?
5. Umeshindwa kuuza vyakula?
6. Umeshindwa kuosha magari?
7. Umeshindwa kufanya collabo na mwenzio mwenye biashara?
8. Umeshindwa kuuza samaki nyama au dagaa?
9. Umeshindwa kufungua kijiwe cha kuziba pancha?
10. Umeshindwa kabisa kuoa au kuolewa na mtu mwenye pesa?
11. Umeshindwa kuuza nguo?
12. Umeshindwa hata kufungua saloon?
13. Umeshindwa kuuza mbogamboga na matunda?
14. Umeshindwa kuuza chakula?
15. Umeshindwa kabisa kumkopa mwenzio na kuanza biashara yako?
Sasa kama huna hela unaishi duniani ili iwe nini?
Maajabu sana!
Binadamu wana mahitaji mengi sana.Fursa ni kemkem kila mahali na kila sekunde iendayo kwa MUNGU.
1. Umeshindwa kufuga?
2. Umeshindwa kulima?
3. Umeshindwa kuwa 'broker'?
4. Umeahindwa kuuza mkaa?
5. Umeshindwa kuuza vyakula?
6. Umeshindwa kuosha magari?
7. Umeshindwa kufanya collabo na mwenzio mwenye biashara?
8. Umeshindwa kuuza samaki nyama au dagaa?
9. Umeshindwa kufungua kijiwe cha kuziba pancha?
10. Umeshindwa kabisa kuoa au kuolewa na mtu mwenye pesa?
11. Umeshindwa kuuza nguo?
12. Umeshindwa hata kufungua saloon?
13. Umeshindwa kuuza mbogamboga na matunda?
14. Umeshindwa kuuza chakula?
15. Umeshindwa kabisa kumkopa mwenzio na kuanza biashara yako?
Sasa kama huna hela unaishi duniani ili iwe nini?
Maajabu sana!