Kwa entrepreneur ingia hapa kidogo

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,432
Well kwa wale wajasiriamali wadogo wadogo au hata wakubwa hii ni yenu.
Naomba kujitambulisha kwa jina Naitwa Felix naishi dar esalaam .
Mimi niliwahi kua na dreams za kua na biashara yangu kubwa tuu. Na najua most of us tunazo. Swali, do you know that instagram can be a good shop for your business/Je unajua instagram inaweza ikawa duka zuri kwa biashara yako?
Kwa wanaoelewa umuhim wa instagram kibiashara basi nawaletea/na kuwatengenezea business class instagram account for cheap prices. Kwa wale ambao bado hawajajua nitafuteni niwajuze kabla hujaamua kununua account ...
Karibuni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…