Kwa dalili hizi naona kama mchepuko wa rafiki yangu unanitaka

emboaba

Senior Member
Oct 5, 2014
143
117
Heshma kwenu wana jf..
Tiririka nayo hii

Nina rafiki yangu ambaye tushafanya mengi inshort ni moja ya best zangu. Yeye ana mke na mtoto mmoja na ana kamchepuko. Mchepuko wake na mimi tunafahamiana tena tunaitana shemej kama kawaida.

Sasa juzi kati mshikaji kaenda mkoani kikazi, sasa hivi inakaribia wiki ya tatu tangu aondoke. Toka aondoke sijakutana na shemeji yangu (mchepuko wa rafiki yangu)

Sasa juzi katumtuma mtu aje anisalimie full lawama eti sionekani mara ooh shem nimekumiss. Kama haitoshi kanitumia kabarua ndani hajaandka kitu cha maana zaidi ya tarehe yake ya kuzaliwa ambayo ni 16 June.

Hebu nipeni ushauri, nini lengo lake au anataka 'nizime taa'?
 
Wanawake wa mjini bwana anaweza kukutengenezea mazingira ya kwamba utakula leo mara imegoma kidogo unapewa kila dalili ya utakula kesho inakataa anakupa kila dalili ya nikitoka safari lazima ule inakataa...Na sababu unafanyiwa picha la matumain wewe ni kufungua wallet tu..Mpaka uje kushtuka anamalizia kupaua kkanyumba chake...
 
Heshma kwenu wana jf..
Tiririka nayo hii

Nina rafiki yangu ambaye tushafanya mengi inshort ni moja ya best zangu. Yeye ana mke na mtoto mmoja na ana kamchepuko. Mchepuko wake na mimi tunafahamiana tena tunaitana shemej kama kawaida.

Sasa juzi kati mshikaji kaenda mkoani kikazi, sasa hivi inakaribia wiki ya tatu tangu aondoke. Toka aondoke sijakutana na shemeji yangu (mchepuko wa rafiki yangu)

Sasa juzi katumtuma mtu aje anisalimie full lawama eti sionekani mara ooh shem nimekumiss. Kama haitoshi kanitumia kabarua ndani hajaandka kitu cha maana zaidi ya tarehe yake ya kuzaliwa ambayo ni 16 June.

Hebu nipeni ushauri, nini lengo lake au anataka 'nizime taa'?
Hivi wewe ni mwanaume au MTOTO WA KIUME?
JF ilijaa wanaume, sasa naona mmeingia vitoto vya kiume......
 
Wanawake wa mjini bwana anaweza kukutengenezea mazingira ya kwamba utakula leo mara imegoma kidogo unapewa kila dalili ya utakula kesho inakataa anakupa kila dalili ya nikitoka safari lazima ule inakataa...Na sababu unafanyiwa picha la matumain wewe ni kufungua wallet tu..Mpaka uje kushtuka anamalizia kupaua kkanyumba chake...

hahahaha ndio hivyo ujipange......mwenzako kashapewa tarehe ya kuzaliwa anahitajika zawadi yeye anawaza kugegeda
 
Back
Top Bottom