Habari, naamini hata kama anasema atasoma chochote watakachomshauri wataalamu, yeye pia ana nafasi ya kuangalia interest zake, asije akasomea kitu ambacho akija kukifanyia kazi atahisi anateseka maisha na hapo furaha ya maisha na uhuru unakosekana.
Mfano nina rafiki yangu ambaye alienda kusomea Mambo ya usalama sasa hivi ni polisi lakini anachukia kuwa huko kwa kuwa anaona haendani na kazi hiyo.
Anyway-kutokana na uzoefu wa kazi zangu kama atakuwa na interest na mambo ya IT (akasome hiy).
Kozi ambayo hata kama hujaajiriwa unaweza kujiajiri.
Thanks!
Mwl.Hemedi