Tuwasiliane uje uione then tutaongeaMkuu 3.5ml nikisogea sichukui?
Nichek kwa 0756060183Ukiongeza 2m japo ikafika 4.5m naweza kukupa hiiView attachment 376605View attachment 376606
Huyu jamaaaaaa apewe medali ya kuchekesha watu wengiiiiiii
Huu uzi mmejua kunichekesha
Kabisa mkuu.Huyu jamaaaaaa apewe medali ya kuchekesha watu wengiiiiiii
Ha ha ha nimecheka kweli kweli..hiyo 2m chukua toyo upige kaziInahitaji matengenezo kidogo tu.
Si unaona chombo hicho mzee, yani ukipata matairi, taa n engine ngoma ipo barabarani.Nimecheka sana mkuu... eti linahitaj matengenezo kidogo![]()
![]()
![]()
Ha ha ha ha ha ha ha ha, kwi kwi kwi kwi kwiiiii, watu mna majibu mpaka bhaaasssSema tu unatafuta chuma chakavu
Lipo gari kwa pesa hiyo lkn ni 6cylinder namba B, kama vp weka namba nikutumie picha kwa wazupHabari wakuu
Kwa budget ya mil.2 naweza gari aina gani na litakuwa kwenye hali gani kwa matumizi