Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,551
- 28,500
Wandugu asiye na mwana sasa hivi Dar, basi ajibandike blanketi, chapa mtu!
Baridi hii si poa kabisa,
Mkuu hii baridi ndio kawaida tunawasha AC.Kaka karibu Arusha Sasa sijui kama utamaliza siku mojahuku
Watu wa dar buana
Atleast sahivi kwetu ni wilaya ya ubungo😂😂😂Tunalala hadi na feni unaita baridi. Watoto wa Kinondoni mnadeka sana.