Natumia iphone 4 nashidwa kudownload vitu kutoka app store naomba kwa anaeweza ku upgrade nitamlipa 10000 napatikana dar gongo la mboto njoo pm
Acha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.Natumia iphone 4 nashidwa kudownload vitu kutoka app store naomba kwa anaeweza ku upgrade nitamlipa 10000 napatikana dar gongo la mboto njoo pm
Kwamba aache ujinga akatoe pesaa ndefuAcha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.
Acha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.
Una upgrade iphone 4 kwend wapi?Acha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.
Sorry ni updates za software.Mlimani wana upgrade iPhone 4?
Acha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.
Hiyo iliishia iOS 7.1.2 baada ya hapo ikatoswa.Natumia iphone 4 nashidwa kudownload vitu kutoka app store naomba kwa anaeweza ku upgrade nitamlipa 10000 napatikana dar gongo la mboto njoo pm
Iphone 4 zaidi ya iOS 7.1.2 huwezi iupgrade washaitosa kitambo, kwa sasa kununua simu chini ya iphone5s ni kujitaftia shida tuAcha ujinga. Kama upo Dar nenda mlimani city kwenye duka lao. Upgrades ni dola 50 hadi 100 software peke yake.
Kuijail break ndio inakuaje kakaHiyo iliishia iOS 7.1.2 baada ya hapo ikatoswa.
Fanya tu ku ijailbreak ndugu uweke market nyingine
Nimkuifanya iOS ikupe access ya system files ambazo uwa haikuruhusu kuziaccess, so tafta taig kwa iOS taig ndo wana njia ya kujailbreak uweke cydiaKuijail break ndio inakuaje kaka