kontronoma
Senior Member
- Jan 20, 2012
- 100
- 117
..kama kuna mtu yeyote anyeuza playstation2 ambayo bado ipo kwenye hali nzuri naomba tuwasiliane basi tufanye biashara anaweza kunicheki pm
mimi nauza kwa laki 2 na nusu.ina 2 controller,cd original 8.
ni used from uk.ila haina matatizo kuhusu cd feki sina uhakika kwa sababu haijawahi kutumiwa na cd feki.cd zote nilizonunua ni original from ukInacheza cd fake (za kucopy), ni mpya au used?
Mpya na controllers 2 nawezakukufanyia 240000 kama upo serious pm....ni mpya sony hazijafunguliwa toka kwenye boxes zake